we kilaza nini nani anasoma kwa mkopo,mpunga niliolipa kufikia semester ya nane hapa HKMU,----- unaetegemea HESLB ka wewe unasoma hadi PhDmnajifanya mnahela,mbona mliomba mkopo kama sisi 2,na bum likicheleweshwa mnanza kumbwela 2
There is no SHIT in medical schoolnamanisha HURBERT university ni chuo cha vilaza
Lazima ukubali tu hata ukiambiwa Gheto kariakoo kwa mwarabu....... najua utakubali tumain campus au mabibo nakubali''2
sasa wewe king kong mie nafuta wa kunibeba 2 afu wewe unajitambulisha humu??
we kilaza nini nani anasoma kwa mkopo,mpunga niliolipa kufikia semester ya nane hapa HKMU,----- unaetegemea HESLB ka wewe unasoma hadi PhD
Hujakosea.... namba ya inaishia na ....../T.96kUMBE WE KIKONGWE
Si unashida wewe panga Gheto mwenge pale kama una jeuri hiyo.....kweli mi masikini haya wakishua unalilia kubebwa then unatangaza kwenu unasoma chuo kikuu hata O level Kibaha sec pale sikuwahi kuishi kindezi kama wewe unayejiita msomi tena wa chuo......JIPANGE!.....masikin utamjua tu kwa mbwembwe zake cha ajabu anajua mie naishi mkoan et ntakubali kubebwa gheto kariakoo??
Mh!! nina mashaka na jinsia yako kinyume na ulivyojitambulisha kwenye uzi.....pole jaman mkaka
Mh!! nina mashaka na jinsia yako kinyume na ulivyojitambulisha kwenye uzi.....