We unaetaka kubebwa hata hujasema jinsia gn?
Mie 2003/2004 nimekaa Hall 2 Floor ya 9 side rooms,2004/2005 Floor 4 side room,2005/2006 Hall 5 Floor ya 10 na 2006/2007 nyuma ya yenu bar msosi tunapiga kwa mama chiluba usiku,mchana kwa bwashee 011 code.
Mie 2003/2004 nimekaa Hall 2 Floor ya 9 side rooms,2004/2005 Floor 4 side room,2005/2006 Hall 5 Floor ya 10 na 2006/2007 nyuma ya yenu bar msosi tunapiga kwa mama chiluba usiku,mchana kwa bwashee 011 code.
ila code ya 011 ndo inawa2 weng nami pia nikiwemo
common rum ulilala kwenye floor au?
hapana ila nimepitia life la chuo, najua taabu zitokanazo na ukosefu wa malazi kwa wanaunzi mnajikuta hata kwenye chumba kimoja chenye vitanda viwili mnaishi watu hata sita
Nenda kajpangie mtaan hko,mwanaume wewe ucwe mwoga wa maisha,mnapenda miteremko ndo mana mkija huku dunian hamuwez kujtegemea.unataka kumsababshia mwenzio matatzo tu aciish kwa aman rum akckia wameanza kukagua wanaobebana,kwanza utambana mwenzio atakosa uhur tu.
juu ya zile meza za kusomea na wkt mwingne kwenye yale makochi,na tulikua wadau wengi.ila kuna mbu balaa.
unauhakika utapangiwa udsm? manaka kwa system ya sikuhizi naona mtu unaweza kupangiwa kozi hata ambayo hujaiomba na hao TCU, kuna mdogo wangu alikuwa na div i ya hgl akapangiwa kusoma bachelor in arabic studies udom, ilibidi twende udom kuomba abadilishiwe kozi because alikuwa hajawahi kusoma lugha ya arabic na hakuipenda kabisa hiyo kozi.
Any way umenikumbusha mbali sana mambo ya kubebana nakumbuka wakati nafanya bachelor yangu kuanzia 2002, nilibahatika kupata kitanda mwaka wa 2 na wa 3 na kwa kuwa home ni kimara baruti na nilikuwa naishi peke yangu nyumbani ilibidi niuze kitanda nilichopewa,ilikuwa rahaa nakumbuka kitanda nilikuwa naalipia 300,000/ nakiuza 700,000/= inabidi watu 2 walikuwa wanacollabo wananilipa, nilikuwa nakula sana bata now open.
I really rember those old good days. now i am a PhD candidate somewhere.
Nawatakia kila la kheri madogo mnaotarajiwa kupangiwa hivi karibuni, mkiend vyuoni acheni mambo ya viduku na kufacebooker kwa sana, someni kuna kudisko
mpe pesa za kwenda kupangisha basi.