Natafuta kubebwa UDSM

Natafuta kubebwa UDSM

+hela ya kubebewa.,jamaa ana usongo na hii kitu.

Hahahaaa. Nimeshazoea. Ila nakumbuka nilipokuwa first year, sikuwahi kumtoza mtu hata shilingi lakini bado first year sijaona mwenye akili hiyo. Wengi wanataka pesa sana na wanatanguliza pesa zaidi ya utu. Lakin nilijifunza nilipokuwa second year, sasa hivi huu ni mwaka wa mwisho, ni mwaka wa kusoma sana na kufanya jitihada na campus ndio sehemu ambayo kwangu mimi naweza kusoma bila disturbance.

Ila nipo serious, kama kuna mtu ambaye atapata campus nipo tayari kujitoa niwezavyo kwa hilo.
 
Acheni kupenda mitelemko vijana ambaye yuko serious na kweli anataka room ani PM...
N.B sio kubebwa.
 
Hahahaa. Kawaida mkuu. Yote ni jitihada za kutafuta. Ila nipo tayari kama nitampata wa kunisaidia.

apollo ushawah kupiga tempo la udalali hapa dar
 
Ndugu zangu. Naomba atakayepata chumba campus anibebe nitalipia semester zote na pesa ya kubebwa. Au aniuzie chumba nitanunua.
Natanguliza shukrani.

Apollo tulia,kama una fedha nenda mtaani,la punguza kasi husije juta.
 
Last edited by a moderator:
apollo ushawah kupiga tempo la udalali hapa dar

SODOKA husitishike sana na maisha ya kusoma,husikate tamaa jipe moyo ila husitukane mtu,si vizuri kiustaarabu. Baba V msaada wako wa picha ya Simba kabebwa I mean kapakatwa unahitajika.
 
Last edited by a moderator:
SODOKA husitishike sana na maisha ya kusoma,husikate tamaa jipe moyo ila husitukane mtu,si vizuri kiustaarabu. Baba V msaada wako wa picha ya Simba kabebwa I mean kapakatwa unahitajika.

Kumradhi mkuu,najitokeza kumtaka radhi SPLEEN kwa lugha chafu tuliyopeana hapa.
 
Last edited by a moderator:
Watu wanachoshindwa kuelewa ni kua sio kwamba mtu hana uwezo wa kupanga wengine wanao ila mazingira ya kuishi sinza au savei na kina mama mwajuma ni tofauti na kukaa hostel zilizotayari kwa wanafunzi iwe mabibo au main campus mazingira yanakua mazuri zaid kwa mwanafunzi kwa kujisomea kuliko kule mtaani
 
Fynd mi f u want kunipa sapoty ! Pand za bybo hostel! +255714 784757! Tx deeboy ! N sharaout kwa wote wanaokipyga coz ya bcom accountin! N othr UDBS dents!
 
Enyi ndugu zangu wa UDSM kwanza naomba tusaidiane kwa hili then tutaelewana juu ya kubebana.Ikitokea nimepata mkopo 100%,napaswa kuja na kiasi gani cha pesa ili kukamilisha michakato ya registration?
 
Kuna gharama za kitambulisho na mambo mengine ya chuo lyk bima ya hospitali! Then na gharama ya hostel! Jus download admission form yao! Inakila kitu kuhusu malipo!
 
Enyi ndugu zangu wa UDSM kwanza naomba tusaidiane kwa hili then tutaelewana juu ya kubebana.Ikitokea nimepata mkopo 100%,napaswa kuja na kiasi gani cha pesa ili kukamilisha michakato ya registration?

kama laki 2.5 ila itabaki
 
Back
Top Bottom