Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
namanisha HURBERT university ni chuo cha vilaza
Ok....sawa endeleeni kushindania vyuo vyenu ila ujanja ni kupata ajira na sio kusoma chuo kizuri....umewahi kulifikiria hilo bro??
namanisha HURBERT university ni chuo cha vilaza
deeboy mie ni sian sa boy ha haaaaa mie siwapondi HKL HGL HGE namanisha H kama HURBET kambi ya kilaza spleen anaebisha kiseng#
Yan! Kwely mbongo akipata ------ hulia mbwatah! Ou yeah! Yan watu wanajisif wakiwa bongo! Eti hatubebany! Wakaty ushukuru kwa msaada uliopata! . Acha mbwembwe kyjana!
umeonaa eeh?jamaa wa hubert kairuki wanajifanya hawabeban akat chuo chao hakina hostel,tunao kibao mabibo''mpaka wa IFM ARDHI wanakaa bibo
Wanazo bt ni chache sanaaaaa!
Mwaka huu rum ziko kibao.kwanza first year wanaanza chuo mwezi february,hakuna haja ya kuhofia.
Mi nilim'beba mtu mwaka 1996/97 pale hall 2 floor ya 3 na nikabebwa hall 5 floor ya nane vile vyumba vikubwa vya pembeni,mwaka 1997/98/99, na 1999/2000 nilim'beba mtu pale hall six... Hivyo naelewa sana unapoongelea maswala ya kubebwa/kubeba....
Ila mda bahati siku hizi kuna simu, sisi enzi zetu unavizia mtu eidha kasoma shule ulikosoma au mnatoka kijiji kimoja au rafiki wa wazazi/ngugu yako katangulia chuo ndo unamuwahi