Natafuta kubebwa UDSM

Natafuta kubebwa UDSM

sipotezagi muda kubishana na zuzu nipigie 0685733122
upate jibu na umenichosha,,nyie ndo mnaofanya upasuaji wa kichwa badala ya Goti coz mnasoma vyuo vya uchochoroni.
kaangalie kwenye rank ya vyuo duniani Hurbet ni cha ngapi Africa
 
hii thread ndo muda wake huu,tuitumie tunaotafuta kubebwa--first year yeyote aliyetayar kunibeba ani PM jamani au text 0685733122
 
Ndugu zangu. Naomba atakayepata chumba campus anibebe nitalipia semester zote na pesa ya kubebwa. Au aniuzie chumba nitanunua.
Natanguliza shukrani.
 
Ndugu zangu. Naomba atakayepata chumba campus anibebe nitalipia semester zote na pesa ya kubebwa. Au aniuzie chumba nitanunua.
Natanguliza shukrani.
Duh "nitalipia semester zote" mpaka first year anatetemeka.......
 
Duh "nitalipia semester zote" mpaka first year anatetemeka.......

Hahahaa. Kawaida mkuu. Yote ni jitihada za kutafuta. Ila nipo tayari kama nitampata wa kunisaidia.
 
Back
Top Bottom