KAMANDA MKUBWA
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 288
- 78
Pole ila ndio life hiyo, kubebana kunapunguza hata matumizi kuliko kukaa kitaa ni shhida
wenye four wale walioreast form four labda..huwez kukanyaga udsm na four ya advance
Ngoja tuwatafutie mpunga, ila sio case! Vimbweta vimeongezwa!
Jaman mie naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale mnaokuja udsm naomba yeyote ani PM---NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA
siyo vimbwete ni vimbweta
We unaumwa