Natafuta kubebwa UDSM

Natafuta kubebwa UDSM

daah kwel majanga mi mwenyewe nackilizia post ztoke,il nijue madogo wa huku kwe2 km watapata hapo udsm ndo niombe wanibebe,yaan mpaka tym hii bdo cjajua ntaish wap mwakan
mkuu tupo wengi kumbe. yani me ndo npo kijijin huku wala dogo atakayenbeba simjuI
 
Nenda kajpangie mtaan hko,mwanaume wewe ucwe mwoga wa maisha,mnapenda miteremko ndo mana mkija huku dunian hamuwez kujtegemea.unataka kumsababshia mwenzio matatzo tu aciish kwa aman rum akckia wameanza kukagua wanaobebana,kwanza utambana mwenzio atakosa uhur tu.
we wa wapi wewe umesikia kila mtu ana uwezo wa kupanga mtaani..
 
juu ya zile meza za kusomea na wkt mwingne kwenye yale makochi,na tulikua wadau wengi.ila kuna mbu balaa.

Daaaah sasa hayo c mateso au ndo mlikuwa mnajtesa ili mje kuwaadithia wtoto wenu kuwa mlisoma kwenye shda?
 
Jaman mie ni mwanamme naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 733122-NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA

Hall 5 life span yake imeisha.
 
Jaman mie ni mwanamme naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 733122-NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA

Dah umenikumbusha Muhimbili first year unapata room then unaanza kujihangaikia mpaka mwaka wa 5 tena ndo unapewa room sijui kwa miaka hii maana wana hostel Masaki natumai Sodoka utapata mkombozi kwa wanaoelewa maana.
 
we wa wapi wewe umesikia kila mtu ana uwezo wa kupanga mtaani..

acha ujinga wewe,mbona wapo walofanya organization wawil hata watat wakachukua rum wanaish wew,kuna rum mpaka za 40 sasa mkiwa wawil mnalpa bei gan kwa semester ama mwaka? By then unaish kwa aman zote.acha uzembe wa kufikiri dogo jinga.
 
Ndugu mboa unakua mkari sari?

Nenda kajpangie mtaan hko,mwanaume wewe ucwe mwoga wa maisha,mnapenda miteremko ndo mana mkija huku dunian hamuwez kujtegemea.unataka kumsababshia mwenzio matatzo tu aciish kwa aman rum akckia wameanza kukagua wanaobebana,kwanza utambana mwenzio atakosa uhur tu.
 
Jaman mie ni mwanamme naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 733122-NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA
duh!kubebana hii dhana mbaya sana,then mnajihita chuo bora afrika,ndio maana wahitimu wao wanapendwa kubebwa mpaka maofisini wanahaha kutafuta magodfather ili wapande vyeo1
wewe kama una akili timamu panga mtaaani ujifunze life
 
laki 7?? huyu jamaa kamaliza form 4 mwaka jana
 
acha ujinga wewe,mbona wapo walofanya organization wawil hata watat wakachukua rum wanaish wew,kuna rum mpaka za 40 sasa mkiwa wawil mnalpa bei gan kwa semester ama mwaka? By then unaish kwa aman zote.acha uzembe wa kufikiri dogo jinga.

usinione mie mjinga kuomba kubebwa,najua kuna kupanga mtaan,uwe na adabu plz cio unavyofikr wewe ndivyo ninavyofikria mimi''over
 
laki 7?? huyu jamaa kamaliza form 4 mwaka jana

c ndo na mie nimeshangaa.wakati wenzie 2nanunua rum kwa shiling elfu 20 tu,cjui yeye alikua udsm ya nchi gani.
 
Nimeona tangazo pale UDSM kuwa atakayebebwa itakula kwake ni jambo moja tu imortant letter to the dean of students unatimua.
 
Hiki ndo chuo bora?? Au bora chuo?? Mwanafunzi kubebana kama magunia!! Kwel hii ni africa!!
 
Nimeona tangazo pale UDSM kuwa atakayebebwa itakula kwake ni jambo moja tu imortant letter to the dean of students unatimua.

kwa taarifa yako mpaka mkuu wa chuo nae alibebwa'''adi dean anajua kubebana kupo kwa watoto wa wakulima''kwenda zako
 
Jaman mie ni mwanamme naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 733122-NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA

Nitakuunganisha na mdogo wangu bt unisaidie kumpa na mawaidha ya hapo chuoni, hii kitu ilinisaidia sana wakati nipo 2nd year.
 
Jaman mie ni mwanamme naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 733122-NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA
aibu ya mwaka,wanafunzi wa chuo wanalala wawili wawili
 
Back
Top Bottom