William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Sijawahi kusema ni vibaya kuwa na rafiki mtoto wa Mkubwa.
Sawa sawa hapa tuko ukurasa mmoja, tuendelee kukata ishus mkuu taifa liko njia panda!
Sijawahi kusema ni vibaya kuwa na rafiki mtoto wa Mkubwa.
Sasa hao watoto waliopenyezwa penyezwa wanaweza kupewa kazi kwenye field lets say kwenda kuingia ndani ya Idara za Serikali ya Rwanda, Uganda etc.
Lakini mwisho wa siku whether ni desk officer ama Field kinachotakiwa ni Loyalty kwa nchi yako, familia,marafiki.
2.Stay squeaky clean. The CIA requires security clearances for all positions, and youll need to be able to pass a very thorough background check to get this clearance. Its not made public exactly what the background checks look for, but as a general rule you should be a model citizen starting quite young. Dont get involved with criminal activities; be responsible, ethical and dependable at work; maintain good credit; avoid gambling; be trustworthy; and be faithful to your spouse and to the United States of America. You dont need to be perfect, but the CIA places very high importance on personal integrity, sound judgment, and loyalty to your country. Your parents and friends must also be as squeaky clean as possible.
Ulisema turudi nyumbani, naona umeturudisha kwa Wanyamwezi.
Tanzania hakuna standards za kupata kazi, si Usalama si Utarishi.
Sasa hizo kazi za Usalama wa Taifa zinatangazwa wapi?
Majumbani...
PM ni nani, na anajuaje?
Mimi nina marafiki watoto wa "Wakubwa Kuliko" ndani ya Usalama, ambao inawezekana walipenyezwa penyezwa tu.
My point is, standard za recruitment ziko shaghala bagala.
Halafu nadhani tutakuwa extremely speculative tukisema tunajua job descriptions za kila ngazi za maofisa wa usalama. Wao wenyewe ndani kwa ndani wengine hawatakiwi kujua kazi ya mwenzako ni nini kwa sababu kuna walinzi wanaochunga walinzi!
Kama kawaida maneno mengi msaada hakuna, mkuu Gembe tuwasiliane mimi ninaweza kuku-hook up na wanaohusika, ninaamini kuwa uko srious na ujumbe wako kwenye PM nimeupata, nitakuwekea namba yangu ya simu tuwasiliane, usalama ni kazi tu kama zingine za taifa, tuache kuikuza sana, mkuu Gembe tuwasiliane, ninataka kuamini kuwa you are serious, kwa sababu I am alyways huwa sina utani hapa kwenye uwanja wa Taifa wa JF.
Ahsante Mkuu tunataka wananchi kama wewe!
Mkuu naomba kusema hivi, maisha yangu yote nimekua nikiwaona na kushirkiana sana na wafanyakazi wengi wa serikali, binafsi sijawahi kufanya kazi serikalini, lakini watu wengi niliosoma nao na kukua nao wengi wako kila kona ya sekta ya serikali, usalama ikiwemo pia mimi sioni the big deal ya usalama kila ukitajwa hapa JF as if hao ni alliens, wakati ni wananchi kama sisi na usalama ni kazi tu kama zingine za taifa letu,
Ofisi ya usalama naijua ilipo, sasa sielewi kwa nini inakuwa ishu hapa kwa Gembe kusema kuwa anataka kazi huko? Mbona mtoto wenye ugonjwa alipoletwa hapa niliwapigia simu wanaohusika huko serikalini na msaada ukatolewa mbona hakuna aliyesema kitu, sasa what is a big deal na hili?
Tuache huu ujinga na ushamba ndani yake, usalama kazi yao ni kulinda taifa letu na sisi ndio hasa wananchi wenyewe na tuko hapa kwa kulisaidia taifa letu na hasa wao watu wa usalama, sasa what is the buzz?
Nijuavyo mimi ni kuwa kwenye system yoyote ile duniani huwezi kwenda kuomba hiyo kazi, ila ni wao huwa wanakufuata na hasa toka ukiwa shuleni, lakini kuna exceptionals ambapo unaweza kuomba ukiwa mtu mzima na wakakupa, sasa sioni what is the big deal hapa na hii ishu mpaka maneno mengi yasiyokuwa na msingi ni nini hasa the ishu?
Ma instructors wao wa wapi, chuo cha ujasusi?
Unafikaje chuo cha Ujasusi; nani anaku hand-pick kwenda chuo cha ujasusi?
wana mchuo wao mkuuuubwa uko mbweni na wana mjengo wao mwingine kunduchi, na kama alivyosema Icadon na ile nyumba kabla ya kiwanja cha basketball pale gymkhana. wakitoka kule wanaenda kupigwa msasa wa foreign affairs kwenye chuo kingine kurasini.manake wengine hutumika kwenye balozi zetu nje.
saivi hmna handpicking ila kuna kuletwa mkono kwa mkono na mkubwa!!anayetaa kuzijua ofisi, ni zile opposite protea na st.peters njia ya kwenda oysterbay.kulia kwako ukitoka kwenye traffic lights. tehe tehe
na wana dummy ofices kibao,nje waweza ona so and so cmpany, au moshe dayan and jonathan netanyahu advocates,etc. pamba house pale zipo si chini ya tatu, kwa hiyo waweza kwenda pale ukilizia vizuri wanaweza kukuonesha