NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,773
- 12,205
wazo zuri mkuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujawa spotted tangu secondary na Vyuoni huko achana na ayo Mawazo Wewe fanya kazi kwa bidii tu wakikuona siku watakuchukua. Hio idara sijawahi hata kuona Wakitangaza posts sasa sijui hata mnatamani nini kwenda sehemu za uficho ficho kiasi icho? Lakini pia wewe ni Mwanausalama wa Taifa lako na unawajibika kulinda Taifa lako
Sent using Jamii Forums mobile app