Kutoka kwa Wakili Peter Kibatala

Kutoka kwa Wakili Peter Kibatala

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,253
Reaction score
1,894
One of my greatest pride as a Lawyer is representing Wanaharakati in Courts.

Jesus was a Mwanaharakati [albeit wa ukombozi wetu], John the Baptist was a Mwanaharakati, Paul the Apostle was such a Mwanaharakati that He traversed all lands of the Gentiles, St. Peter was one of the greatest Wanaharakati, too.

Moses was such a Mwanaharakati that He had to rush into exile.

Didn't we coin "HARAKATI ZA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA" as a proud struggle?

Bishop Desmond Tutu was a proud Mwanaharakati, Malcom X was a Mwanaharakati, Martin Luther King was a Mwanaharakati, Adv.Mahatma Gandhi was a Mwanaharakati, Adv. Nelson Mandela was such a Mwanaharakati that He was charged for Uhaini and Ugaidi, Rosa Parks was a Mwanarahakati, Adv.Oliver Thambo was a Mwanaharakati, Ahmed Kathrada was a Mwanaharakati, Samora Machel was a Mwanaharakati, Govan Mbeki was a Mwanaharakati, Rosa Parks was a Mwanaharakati, Eduardo Mondhlane was a Mwanaharakati, President of Namibia, Madam Netumba Nandi-Ndaitwa was such a Mwanaharakati against South African colonialism of Namibia that she had to run into exile to Tanzania, Magomeni to be precise.

Wazee wetu wengi tu walikuwa wanaharakati wa kupigania Uhuru wa Tanganyika.

And much more.
 
Yaani kutokana na muhtasari wa ulichoandika.

Kuna wapuuzi kweli wataamini kweli wewe ni mwanasheria.

Bila ya kuelewa muhtasari wako wa kujinadi kama mwanasheria (hakuna sehemu unaonyesha sifa yako kama mwanasheria).

Ni shida sana kuwaambia wengine wawaone mataahira kama nyie, kwa utaahira wenu.

Ndio maisha
 
Yaani kutokana na muhtasari wa ulichoandika.

Kuna wapuuzi kweli wataamini kweli wewe ni mwanasheria.

Bila ya kuelewa muhtasari wako wa kujinadi kama mwanasheria (hakuna sehemu unaonyesha sifa yako kama mwanasheria).

Ni shida sana kuwaambia wengine wawaone mataahira kama nyie, kwa utaahira wenu.

Ndio maisha
Well known mwanasheria... Kama upo Tanzania na hujawahi kulisikia jina Peter Kibatala kwenye UGA wa Sheria, basi wewe ni WAKUJA😆😃
 
Yaani kutokana na muhtasari wa ulichoandika.

Kuna wapuuzi kweli wataamini kweli wewe ni mwanasheria.

Bila ya kuelewa muhtasari wako wa kujinadi kama mwanasheria (hakuna sehemu unaonyesha sifa yako kama mwanasheria).

Ni shida sana kuwaambia wengine wawaone mataahira kama nyie, kwa utaahira wenu.

Ndio maisha
Duh.
 
Well known mwanasheria... Kama upo Tanzania na hujawahi kulisikia jina Peter Kibatala kwenye UGA wa Sheria, basi wewe ni WAKUJA😆😃
Hata sijui nichangie kwa kufurahisha upande gani kwa sasa.
1. Present a legal argument (huko nyuma kulikuwa na watu wa serikalini wanaotafuta talent JF).

Hakuna mtu wa kutoka serikalini ambae hana kazi maalum.

Shida hapa ni malaya wa kutoka ‘chit chat’ wanajiona wanajua; hiko siku wataingia mikono sio.
 
Wanaharakati ndio hawahawa wanasiasa/wanadini, huu ni mnyumbuliko tu wa kutetea haki za binadamu. Gaidi ni yule anayeteka/kuua wananchi wasiokuwa na hatia ili tu kuikomoa serikali au upinzani, hata serikali inaweza kuwa ya kigaidi kutokana na vitendo vya kuua wananchi wanaoipiga. Mfano wa magaidi ni magaidi ya kipalestina, magaidi ya al qaeda, boko haram, al shabaab, RENAMO ya wakati ule, UNITA kabla haijawa chama cha siasa, Abu sayaf,FIS, Lords resistance army, pia kuna gaidi la kujitegemea kama mtu mmoja kama timoth macghay kule oklahoma bomb blast na wale wanaojilipua waue watu wengi. Wanaharakati si magaidi, watakuwa magaidi endapo wataua wananchi
 
Back
Top Bottom