Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Mkuu,

Nafahamu fika kwamba wewe ni mwandamizi hapa JF na nnakuheshimu kwa hilo.

Lakini hii haimaanishi kwamba unaweza ukawa una conlusive ideas kwa kila hoja.

Hoja yangu mimi imetokana na si hoja ya Gembe bali ni zile hoja za wengine ambao wanaonekana kwamba wanafanya hii suala kuwa ni big deal kwamba wakiingia huko basi mambo ni mazuri.

Kabla ya kuandika utangulizi wangu nilizingatia hilo na ikawa kama ulivyoona.

Sasa inategemea alieleta thread ana nia gani.

Napenda sana mwongozo wako kama Field Marshall, lakini uwe na a little bit of respect kwa sisi normal solders.

Kuna mambo yanaendelea humu ndani ndugu yangu taratibu utayajua tu.
Na huyo Gembe aliyetoa hoja bado hajarudi.
 
Napenda sana mwongozo wako kama Field Marshall, lakini uwe na a little bit of respect kwa sisi normal solders.

Sijakuelewa mkuu, vipi ukifafanua kidogo ninajaribu kukuelewa lakini sijakuelewa kuna mahali nimekukwaza mkuu kwa maoni yangu kwa usalama ni wananchi kama sisi wengine na ofisi zao ni za kawaiada tu kama zingine? au kuna something nina-misss mkuu! maana kama ni heshima sidhani kama nimewahi kukuvunjia hata siku moja, hata siku ile nilipoleta ujumbe wa serikali ulimuuunga mkono mut aliyenirushia maneno ya kashfa kutokana kuleta ule ujumbe lakini bado sijwahi kukuvunjia hesima mkuu au! tuelewashane bro!

Ni mahali gani mkuu ulipotolewa ukali na kutukanwa, maana sitaki kuamini kuwa na wewe ni yule yule jamaa yangu! au? yaani hilo sitaki kuamini kabisa wewe umetoa maoni yako on my comment na mimi nimetoa yangu sasa ni wapi nimekutukana au nimekukalipia? Au unazungumzia ile ninyingine kule juu inakuhusu pia?
 
Kuna mambo yanaendelea humu ndani ndugu yangu taratibu utayajua tu.
Na huyo Gembe aliyetoa hoja bado hajarudi.

Mkuu ukisoma jinsi mheshimiwa alivyoandika utaona kwamba amechukulia hii kama personal attack wakati mimi nimejaribu tu kuondoa dhana (kwa baadhi ya wachangiaji) kwamba kufanya kazi usalama a taifa sio lelemama.

Kunahitaji dedication na utiifu kwa nchi unayoifanyia kazi na endapo utachemsha itabidi uwe eliminated, in a polite way.
 
Sijakuelewa mkuu, vipi ukifafanua kidogo ninajaribu kukuelewa lakini sijakuelewa kuna mahali nimekukwaza mkuu kwa maoni yangu kwa usalama ni wananchi kama sisi wengine na ofisi zao ni za kawaiada tu kama zingine? au kuna something nina-misss mkuu! maana kama ni heshima sidhani kama nimewahi kukuvunjia hata siku moja, hata siku ile nilipoleta ujumbe wa serikali ulimuuunga mkono mut aliyenirushia maneno ya kashfa kutokana kuleta ule ujumbe lakini bado sijwahi kukuvunjia hesima mkuu au! tuelewashane bro!

Ni mahali gani mkuu ulipotolewa ukali na kutukanwa, maana sitaki kuamini kuwa na wewe ni yule yule jamaa yangu! au? yaani hilo sitaki kuamini kabisa wewe umetoa maoni yako on my comment na mimi nimetoa yangu sasa ni wapi nimekutukana au nimekukalipia? Au unazungumzia ile ninyingine kule juu inakuhusu pia?

Mkuu,

Ondoa shaka, mimi sie unaenidhania na nipo na wewe hapa kitambo tu.

Labda nimekuelewa vibaya katika response yako kwa hoja yangu.

Tuendelee tu na kampeni ya kutafuta Tanzania yenye neema.

Mengine soma PM.
 
Quote:- Richard

Unajua mimi baada ya kutoa tongotongo za Tanzania ughaibuni miaka mingi iliopita, ndio nikaona kwamba haya mambo ya sijui eti yule yumo kwenye "system" au ni mtu wa "system" au ni mmoja wao au wale ni baadhi yao tu, nikaona kwamba wenzetu wameendelea sana na wala hawajikwezi.

Hii pia inanikumbusha mzee mmoja wakati nikiwa mdogo ambae alikuwa ni shushu lakini alipenda sana kuunganisha misafara ya raisi akiwa anapita moja ya barabara maarufu pale Dar, ili mradi tu watu wamuone kwamba yeye ni shushu.

Quote:- Richard

Mkuu ukisoma jinsi mheshimiwa alivyoandika utaona kwambaamechukulia hii kama personal attack wakati mimi nimejaribu tu kuondoa dhana (kwa baadhi ya wachangiaji) kwamba kufanya kazi usalama a taifa sio lelemama.
Kunahitaji dedication na utiifu kwa nchi unayoifanyia kazi na endapo utachemsha itabidi uwe eliminated, in a polite way.


[SIZ
E="3"]Quote:- Richard

Nafahamu fika kwamba wewe ni mwandamizi hapa JF na nnakuheshimu kwa hilo. Lakini hii haimaanishi kwamba unaweza ukawa una conlusive ideas kwa kila hoja. Nimesoma hoja zako nyingi ambazo zinaonekana ni conlusive na zenye ukali, hii ni hatari mkuu tuwe wapole na tusahihishane kwa ustaaarabu na sio kutukanana. Napenda sana mwongozo wako kama Field Marshall, lakini uwe na a little bit of respect kwa sisi normal solders. [/SIZE]

Mkuu richard hivi kweli mimi ninahitaji kuongeza neno tena as what is the intent hapa kwenye hizi quotes zako? Unasema umeziandika kwa ustarabu na huna tatizo na comment yangu, naomba urudie tena hayo maneno yako ya ustaarabu mkuuu haya ni maneno yako mwenyewe hakuna langu hapa!
 
Mkuu,

Ondoa shaka, mimi sie unaenidhania na nipo na wewe hapa kitambo tu.
Labda nimekuelewa vibaya katika response yako kwa hoja yangu.
Tuendelee tu na kampeni ya kutafuta Tanzania yenye neema.
Mengine soma PM.

Haya mkuu nimekusikia tuendelee kukata ishus, mimi sina noma taifa mbele na JF mbele, wanachama nyuma!
 
kaka CIA ni kati ya mashirika bora kabisa ya kijasusi lakini tatizo la marekani INSIPIRATION ya kwanza ya mtu ku serve jeshini,CIA,FBI ets ni maslahi zaidi kuliko utaifa......UAJIRI HOLELA WA CIA ndio unaowasababishia matatizo ya siri zao kuvuja mara kwa mara[angalia taarifa mbali mbali na kufuatilia majarida]...na pia pamoja na kulipwa mshahara mkubwa imekuwa rahisi kwa mashirika ya russia na mengine kupemyeza watu wao...

Kila kitu ulichokisema hapo juu sio kweli.

Idara karibu zote za Serikali ya Marekani, ikiwemo CIA, siku zote zinabakia nyuma katika kushindania vipaji vya wataalam kwa sababu masilahi yake ni kiduchu kulinganisha na sekta binafsi. Malipo ya Serikali wanayaita karanga.

Mbili, kuvuja kwa siri - kule kunakohusisha wenye asili ya kigeni - hakutokani na "uajiri holela." Wachina wote wanaoingia CIA ni Raia wa Marekani, na Sheria yao hairuhusu kumnyima kazi awae yote kwa sababu babu yake alikuwa Mchina au Mhindi. Sheria hiyo, zaidi ya msingi wa uadilifu, ina mantiki nyingine. Marekani imejaa Wazungu wazawa ambao babu - na hata baba - zao walikuwa sio wa asili ya hapa. Isingewezekana kuchambua na kuwapata wale tu ambao ni vitukuu vya vitukuu vya wazawa wa Marekani. Sababu inayofanya Wamarekani wa Kichina tu wakose uaminifu wa Usalama ni kwa vile Mchina Mwekundu sasa hivi ana mwamko, ana ambition, ya kujenga Taifa Kubwa. Ndio maana unasikia wanaowacheza michezo ya siri mara nyingi ni Wachina, japo CIA na Serikali imejaa watoto wa Waitalia, Wajerumani, Wapotoriko, Wahindi Koko na Wagagagegegigikoko.

Tatu, hoja yako ya kwamba Warusi wanaweza kujipenyeza kuingia CIA kwa sababu CIA kuna maslahi, hicho kitu sio tu hakipo, ila pia, hata kama kingekuwepo, hakisaidii hoja yako. Kama ungesema maslahi ya CIA ni madogo ndio maana Warusi wanatumia hio kama tundu la kujipenyeza kwa kupenyeza ufisadi, hapo ungeleta mantiki zaidi.

Kuhusu recruiment za jeshi, nadhani, hayo yako nje ya mada.

Vitu ulivyoiitangazia dunia hapo juu vyote havipo!
 
Security Background Check ya CIA/NSA/FBI ina kwenda mpaka miaka mingapi nyuma?
 
Back to the big bang!

Chochote watakachokipata.

10.Wait for your background check to be completed. The background check is extremely thorough and often lengthy (it sometimes takes as much as two years). According to the CIA website: “The investigation addresses comprehensively one's loyalty to the United States, strength of character, trustworthiness, honesty, reliability, discretion, and soundness of judgment. In addition, it examines one's freedom from conflicting allegiances, potential for coercion, and willingness and ability to abide by regulations governing the use, handling and protection of sensitive information.”
 
Kurudi kwetu, inategemea na kazi unayoomba... desk job au field...na most of the times watu wengi wa kwenye field(majasusi) ni hand picked na instructors wao ambao wanaspend years kuwafundisha mfano mzuri angalia Spy Game, The Recruit...
 
Kurudi kwetu, inategemea na kazi unayoomba... desk job au field...na most of the times watu wengi wa kwenye field(majasusi) ni hand picked na instructors wao ambao wanaspend years kuwafundisha mfano mzuri angalia Spy Game, The Recruit...

Hiii sasa tunaita amina yaani yes na hakuna nyongeza, Full Stop!
 
Kama kawaida maneno mengi msaada hakuna, mkuu Gembe tuwasiliane mimi ninaweza kuku-hook up na wanaohusika, ninaamini kuwa uko srious na ujumbe wako kwenye PM nimeupata, nitakuwekea namba yangu ya simu tuwasiliane, usalama ni kazi tu kama zingine za taifa, tuache kuikuza sana, mkuu Gembe tuwasiliane, ninataka kuamini kuwa you are serious, kwa sababu I am alyways huwa sina utani hapa kwenye uwanja wa Taifa wa JF.

Ahsante Mkuu tunataka wananchi kama wewe!

Mkuu wangu kweli ni kazi kama kazi nyingine. Lakini kazi nyingine si unajua zinakufanya u-earn pesa kutokana na jasho lako. Lakini hii unajaa mapesa ambayo hu-earn, nadhani wengi ni hivyo lakini kuna wachache ambao wana- earn kwelikweli na kufanya kazi kwelikweli kwa ajli ya taifa.
 
Mkuu wangu kweli ni kazi kama kazi nyingine. Lakini kazi nyingine si unajua zinakufanya u-earn pesa kutokana na jasho lako. Lakini hii unajaa mapesa ambayo hu-earn, nadhani wengi ni hivyo lakini kuna wachache ambao wana- earn kwelikweli na kufanya kazi kwelikweli kwa ajli ya taifa.

Mkuu maneno yako mazito, lakini unaweaje ku-generalize hivyo bila kuwa na dataz unless uwe unafanya kazi huko, kwa sababu huenda wanafanya sana kazi ila serikali na wakubwa au wanasiasa ndio hawataki kuwasikiliza, lakini haimaanishi kuwa hawafanyi kazi, au?
 
Kurudi kwetu, inategemea na kazi unayoomba... desk job au field...na most of the times watu wengi wa kwenye field(majasusi) ni hand picked na instructors wao ambao wanaspend years kuwafundisha mfano mzuri angalia Spy Game, The Recruit...

Ma instructors wao wa wapi, chuo cha ujasusi?

Unafikaje chuo cha Ujasusi; nani anaku hand-pick kwenda chuo cha ujasusi?

Unapoomba kufanya kazi za kikachero, utajuaje aina za kazi zilizopo huko ili tuweze kusema 'inategemea na kazi unayoomba'?

Itakuwaje Desk officer awe na relaxed standards of recruitment bila ya watu kutumia hilo tundu kujipenyeza kwa kufanya utundu kwenye fomu ya maombi? Au desk officer wa kijasusi sio jasusi?

Desk officer ambae kaingia kiubwete ubwete (relaxed scrutiny, kwa hiyo hatumjui jui saaaana) anaweza kupanda akawa Mkuu wa Majasusi?
 
Ma instructors wao wa wapi, chuo cha ujasusi?

Unafikaje chuo cha Ujasusi; nani anaku hand-pick kwenda chuo cha ujasusi?

Unapoomba kufanya kazi za kikachero, utajuaje aina za kazi zilizopo huko ili tuweze kusema 'inategemea na kazi unayoomba'?

Itakuwaje Desk officer awe na relaxed standards of recruitment bila ya watu kutumia hilo tundu kujipenyeza kwa kufanya utundu kwenye fomu ya maombi? Au desk officer wa kijasusi sio jasusi?

Desk officer ambae kaingia kiubwete ubwete (relaxed scrutiny, kwa hiyo hatumjui jui saaaana) anaweza kupanda akawa Mkuu wa Majasusi?

Ndio maana PM kasema wanaanzia Primary, Secondary, Chuo, JKT etc....
Kazi kubwa ya Jasusi/Kachero ni nini? labda tuanzie kwenye hilo hapo...na desk Officer lets say wa Dawati la maswala ya Afrika Mashariki wajibu wake ni nini?
 
Ndio maana PM kasema wanaanzia Primary, Secondary, Chuo, JKT etc....
Kazi kubwa ya Jasusi/Kachero ni nini? labda tuanzie kwenye hilo hapo...na desk Officer lets say wa Dawati la maswala ya Afrika Mashariki wajibu wake ni nini?

PM ni nani, na anajuaje?

Mimi nina marafiki watoto wa "Wakubwa Kuliko" ndani ya Usalama, ambao inawezekana walipenyezwa penyezwa tu.

My point is, standard za recruitment ziko shaghala bagala.

Halafu nadhani tutakuwa extremely speculative tukisema tunajua job descriptions za kila ngazi za maofisa wa usalama. Wao wenyewe ndani kwa ndani wengine hawatakiwi kujua kazi ya mwenzako ni nini kwa sababu kuna walinzi wanaochunga walinzi!
 
Mimi nina marafiki watoto wa "Wakubwa Kuliko" ndani ya Usalama, ambao inawezekana wapenyezwa penyezwa tu.


Haya ndio tunasema kila wakati watu wasiogope kusema kama wana marafiki wakubwa au wadogo, maana tukisema sisi tunajigamba hapana ni ukweli tu na wala haina noma kuwa na marafiki watoto wa wakubwa.

Au ni sawa akisema kiazi tu? kwi! kwi! kwi! kwi! kwi!
 
PM ni nani, na anajuaje?

Mimi nina marafiki watoto wa "Wakubwa Kuliko" ndani ya Usalama, ambao inawezekana wapenyezwa penyezwa tu.

My point is, standard za recruitment ziko shaghala bagala.

Halafu nadhani tutakuwa extremely speculative tukisema tunajua job descriptions za kila ngazi za maofisa wa usalama. Wao wenyewe ndani kwa ndani wengine hawatakiwi kujua kazi ya mwenzako ni nini kwa sababu kuna walinzi wanaochunga walinzi!

Sasa hao watoto waliopenyezwa penyezwa wanaweza kupewa kazi kwenye field lets say kwenda kuingia ndani ya Idara za Serikali ya Rwanda, Uganda etc.

Lakini mwisho wa siku whether ni desk officer ama Field kinachotakiwa ni Loyalty kwa nchi yako, familia,marafiki.

2.Stay squeaky clean. The CIA requires security clearances for all positions, and you’ll need to be able to pass a very thorough background check to get this clearance. It’s not made public exactly what the background checks look for, but as a general rule you should be a model citizen starting quite young. Don’t get involved with criminal activities; be responsible, ethical and dependable at work; maintain good credit; avoid gambling; be trustworthy; and be faithful to your spouse and to the United States of America. You don’t need to be perfect, but the CIA places very high importance on personal integrity, sound judgment, and loyalty to your country. Your parents and friends must also be as squeaky clean as possible.
 
Haya ndio tunasema kila wakati watu wasiogope kusema kama wana marafiki wakubwa au wadogo, maana tukisema sisi tunajigamba hapana ni ukweli tu na wala hiana noma kuwa na marafiki watoto wa wakubwa.

Au ni sawa akisema kiazi tu? kwi! kwi! kwi! kwi! kwi!

Sijawahi kusema ni vibaya kuwa na rafiki mtoto wa Mkubwa.

Au labda sijakuelewa.

Unapokuwa mtoto mdogo unakutana na marafiki mashuleni huwezi kusema fulani sitaki urafiki nae kwa sababu ni mtoto wa Mkubwa. Concept yenyewe ya mtoto wa Mkubwa bado hujailewa. In fact kama wewe ni "Mtoto wa Mbwa" ndio kwanza unajifanya kumkaribia "Mtoto wa Mkubwa" umpore vijifurushi vya mkate-mayai waliofungiwa na Mama zao kuleta shule. Lol!

Unakuwa karibu na maadui! Si ndio wanasema hivyo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom