jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Mkuu,
Nafahamu fika kwamba wewe ni mwandamizi hapa JF na nnakuheshimu kwa hilo.
Lakini hii haimaanishi kwamba unaweza ukawa una conlusive ideas kwa kila hoja.
Hoja yangu mimi imetokana na si hoja ya Gembe bali ni zile hoja za wengine ambao wanaonekana kwamba wanafanya hii suala kuwa ni big deal kwamba wakiingia huko basi mambo ni mazuri.
Kabla ya kuandika utangulizi wangu nilizingatia hilo na ikawa kama ulivyoona.
Sasa inategemea alieleta thread ana nia gani.
Napenda sana mwongozo wako kama Field Marshall, lakini uwe na a little bit of respect kwa sisi normal solders.
Kuna mambo yanaendelea humu ndani ndugu yangu taratibu utayajua tu.
Na huyo Gembe aliyetoa hoja bado hajarudi.