TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
Madakopye
Ng'wibi
Kweli Majina Afrika Yapo... Yaani umenikumbusha mtu alikuwa anaitwa Nyamaka!!!
Huko ruvuma ndio usiseme, komba, mapunda, simba, mbawala, kobe, nyoka, nk
Madakopye
Ng'wibi
Majina hayo yalishaathiriwa na wamishionari/wakoloni - Hebu fikiria 'babu mkuu' ana jina la Kuhani fulani kwenye Bibilia!
Ngoja niendelee kukusanya majina:
6. Zwelizima
7. Tekero
8. Sambombo
9. Chachala
10. Kinsenge
Asante, kasi yenu ikipungua nitaanza kufanya 'shortlist', nikishindwa kuchagua kwenye hiyo shortlist itabidi nifanye ana ana do - jioni hii huko mtaani nimepata haya mengine:
11. Ndembwela
12. Kingwendu
13. Vyavyala
14. Mkiramweni
15. Cigwiyemizi
chagua hayo ya kitanzania, ndio yanakufaa.Nimevinjari Zambia na Zimbabwe, huko nimepata haya:
16. Chikwida
17. Chigudu
18. Chipo
19. Chiluba
20. Chimika
chagua hayo ya kitanzania, ndio yanakufaa.
Majina hayo yalishaathiriwa na wamishionari/wakoloni - Hebu fikiria 'babu mkuu' ana jina la Kuhani fulani kwenye Bibilia!
Mkuu ukiamua kujilegeza its okay hutapata, lakini for sure ukienda 5 generations unayapata. Watu wengi walipewa majina ya kiyahudi, kirumi na kizungu lakini on the sideline walipewa majina ya asili. Ukivuka vizazi vinne tayari umeangukia 1800s ambako bado majina ya kigeni yalikuwa hayajaenea.
Mkuu nimeshafanya utafiti wa kina kuhusu hilo. Alafu kumbuka hao walikuwa wanapewa majina yenye maana zinazowahusu. Kwa mfano, huko Upareni ukiitwa Nankondo ina maana umezaliwa wakati wa vita. Au ukiitwa Nanzige basi wewe ni wa wakati wa baa la nzige. Mimi nataka jina langu mwenyewe lenye maana inayoendana na mapambano ya leo ya Kizalendo dhidi ya ufisadi. Si unaona tayari kuna mtu humu anaitwa Mchukiafisadi.
Mpambanaji
Mapinduzi/Mwanamapinduzi
Mapinduzi nipo, nitaanzisha thread kulalamikia hili.
sorry bro!
Sikujua na btw any suggested name lazima Compareno aangalie kama linatumika tayari. My bad na usilalamike tafadhali!