Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,644
- 4,186
Mi sichangii mada za uwongo!
Nlifikiri ungemuuliza 'kuingia kwenye relation ndo nini'
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Pole sana
Neva dare to trust a man.
Habari za jumapili wana JF.
Acha kujidanganya, Aunt yangu alijidanganya kama wewe na alipofika 50's akaishia kupata fibroids na kuanza kutamani kuolewa na kuwa na mtoto. Kwahiyo mrembo jiulize ni kwanini wanakukimbia!? Au kama vipi tafuta kungwi akufunde namna ya kuishi na mwanamme na pia kumretain. Usiogope kujifunza.
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
wanaume wengi ni kama ccm hawa aminiki.
Tafuta na wewe mwanaume wa kumuumiza, ukishazoea kuumiza utaona sawa tu.
24+ amaanishe 34? Hmm.....
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Watatu tu.........
She is sweethearted,usimfundishe umafia!!
Nipo Chuga Preta.Nimekutafuta sana.........upo wapi siku hizi..........?.......