Heargy da Best
Member
- Jun 23, 2015
- 48
- 10
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
kabla ya yt umejichunguza ww una kasoro gn? inawexekana ww ndo mwenye tatizo ndo maana kla kwenye uhusiano uloingia unapigwa kibuti...JARIBU KUANGALIA UNAKOSEA WAPI