Nashindwa kuwaamini wanaume

Nashindwa kuwaamini wanaume

Nilivyoona hiyo avatar nikajua tayari ushawekwa ndani.

Ni sehemu ya maisha hayo unayopitia, atatokea chaguo lako na ambaye utamuamini.
 
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.

Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, trustworthy, mywepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.
 
  • Thanks
Reactions: jae
Duuuh!
...pole bhana, ila jichunguze naww, kwanin inakutokea, huenda kuna vitu unakosea!
 
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.

Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, mwepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.

sio kwa wanaume wa kizazi chetu, mtu anapretend hadi unasema mume ndo huyu
 
Habari za jumapili wana JF
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa.Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini
Samahani kwa uandishi me c mzoefu wakupost


NiPM niweze kukupa ushauri mzuri zaidi
 
Pole ndg. Relationship sasahivi ni mtihani. Hakuna mapenzi ya kweli. Ndoa zenyewe ni ngumu.kila wakati kuumizana tuu. Muombe Mungu usiwe na haraka subiri sauti ya Mungu. Utampata anaetoka kwake na mtadumu.wanaume wengi waongo sana.
 
Si wanaume wote ndo watakuumiza. Tatizo kubwa ni nyie kutoa tunda kabla hujaolewa, mwanaume akishakula na kusaza lazima abadilishe mlo. Ushauri wangu kwako na wengine; usitoe tunda kabl ya wakati wake, usiwe ombaomba wa vijisenti kwa mpenzi/mchumba wapo pia usiwe na papara kwa wanaume wengine. JITULIZE mpenzi wako atakuamini na utaolewa

Kwenye suala la kutotoa tunda akiyanani vile atabaki SINGLE 4 life.... Ila cha muhimu ni hapo kukwepa kulia shida kila dakika atachokwa faster
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom