Watatu tu.........
Mimi ni msichana mwenye 24+
24+ ndo nini?
Nlifikiri ungemuuliza 'kuingia kwenye relation ndo nini'
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.
Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, mwepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.
Habari za jumapili wana JF
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa.Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini
Samahani kwa uandishi me c mzoefu wakupost
Si wanaume wote ndo watakuumiza. Tatizo kubwa ni nyie kutoa tunda kabla hujaolewa, mwanaume akishakula na kusaza lazima abadilishe mlo. Ushauri wangu kwako na wengine; usitoe tunda kabl ya wakati wake, usiwe ombaomba wa vijisenti kwa mpenzi/mchumba wapo pia usiwe na papara kwa wanaume wengine. JITULIZE mpenzi wako atakuamini na utaolewa
24+ ndo nini?