Nashindwa kuwaamini wanaume

Nashindwa kuwaamini wanaume

Haki ya msingi kwa mume, kwani huyo mumewe??
tunda ni haki ya kiumbe awe mume nahata kama sio mume kwanza kweni kuku anamume?mbona tunda anatoa kwa wenzake pia kwenye kupewa vijisenti mbona hamsemi kweni wewe babaangu mpaka unihudumie?
 
tunda ni haki ya kiumbe awe mume nahata kama sio mume kwanza kweni kuku anamume?mbona tunda anatoa kwa wenzake pia kwenye kupewa vijisenti mbona hamsemi kweni wewe babaangu mpaka unihudumie?

Kutoa pesa walaaaa hakuhusiani na papuchi, hela inatakiwa itoke tu bila hata maswali, ila kwenye hili inahitaji kwanza maswali ya kutosha.
 
Kutoa pesa walaaaa hakuhusiani na papuchi, hela inatakiwa itoke tu bila hata maswali, ila kwenye hili inahitaji kwanza maswali ya kutosha.
unazidi kumpotosha sasa,ebu tengua kauli yako pesa walaaaa hakuhusiani na papuchi, hela inatakiwa itoke tu
 
Mwanamke kumwamini mwanaume and vice versa ndio chanzo cha furaha ya mahusiano!
 
Utaisoma namba!, ila ni mapito tu yataisha!. Inawezekana na wewe ni jeuri sana maana kama umetulia na kujiheshimu vizuri sidhani kama unaweza kukumbwa na hali kama hiyo, uwe na msimamo na maisha yako. Ukitaka uwe unajaribu wanaume majibu utayapata. Mungu akusaidie sana, wenzio wengne waliakupata kazi kumbe wewe kazi tayari bado mume tu!, hongera sana tia bidii atakuja alie wako na utamfurahia utasau yote!!! Amen
 
Dada pole mwaya...ninge kuwa single ninge kuomba nikuone tujadili maana inaonekana tumawazo vya kisichana kichwani kwako havipo.
 
Niamini mimi tu mama la mama no more drama ok...:A S wink:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom