Nashindwa kuwaamini wanaume

Nashindwa kuwaamini wanaume

Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.

Pole sana but usiogope kuwa katika relation sababu sio kwamba wanaume wote ni wa aina hiyo na kama umeumizwa katika relation tatu zote kaa fikiri inawezekana tatizo likawa kwako,tafakari kwa kina upate ufumbuzi kwanii relation hizo zote uumizwe?fikiri wapi unakosea then ujipange upya angalia je ni sababu gani zilizopelekea hadi ukaumizwa chambua katika kila relation ulopitia..maana unaweza laumu kumbe sababu ya wewe kuumizwa ni wewe mwenyewe.
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.
Huwa natoa ushauri nasaha kwa wanandoa na wapenzi. Sitakutoza pesa wala kukuomba papuchi. Ni wito tu nimepewa na nimeshasaidia wengi. Ukipenda ni PM. Huna hata haja ya kunipa namba yako ya simu. Tunaweza kumaliza mambo yote hapa hapa jf tukitumia id zetu hizi hizi za bandia.
 
Wakati mwingine haya mambo yanapelekea unampenda mtu endapo tuu mkioana lakini kabla ya hapo hakuna imani jichunguze mwenendo wako na watu uliokuwa nao utapata jibu then chukua hatua
 
Jitathmini au jipeleleze kwanza mwenyewe kabla ya kulaumu wanaume.
huenda wewe ndio chanzo cha kuachwa.
 
Pole sana but usiogope kuwa katika relation sababu sio kwamba wanaume wote ni wa aina hiyo na kama umeumizwa katika relation tatu zote kaa fikiri inawezekana tatizo likawa kwako,tafakari kwa kina upate ufumbuzi kwanii relation hizo zote uumizwe?fikiri wapi unakosea then ujipange upya angalia je ni sababu gani zilizopelekea hadi ukaumizwa chambua katika kila relation ulopitia..maana unaweza laumu kumbe sababu ya wewe kuumizwa ni wewe mwenyewe.
Umemaliza, wanawake wengi ndio huwa chanzo cha mahusiano yao kuharibika kisha lawama zote wanawaangushia wanaume,kwa kua wanaume hatupendi makuu unaamua kuachana na mtu kimia kimia bila kumwambia tatizo sasa yeye anachukulia kua mwanaume ndio mbaya kumbe yeye ndie chanzo cha tatizo.
 
Ilikupasa uchukue mda kabla ya kuanza mahusiano mengine baada kuvunjika mahusiano ya kwanza na ukarudia kosa lilelile tena na tena,hivyo tulia poteza mda kwa kufanya shughuli ya maendeleo,utaona matokeo,ila rudisha imani.
 
Umemaliza, wanawake wengi ndio huwa chanzo cha mahusiano yao kuharibika kisha lawama zote wanawaangushia wanaume,kwa kua wanaume hatupendi makuu unaamua kuachana na mtu kimia kimia bila kumwambia tatizo sasa yeye anachukulia kua mwanaume ndio mbaya kumbe yeye ndie chanzo cha tatizo.

Yaap,sometime unaweza laumu mtu kumbe wewe mwenyewe ndo chanzo cha maumivu yako but unalaumu kwa sababu hujajua.
 
Kwann umwamini mtu kwanz! We ishi ukijiamin mwenyew hata utapopata mwingne usitake kumfuatilia fuatilia sn maana utaishia maaumivu, ni wawil kati ya kum ndio wanawoweza kuwa waaminifu kbsa kwa w'wke wao ila weng wao ni haiwezekani. Hivyo usipende kujiaminisha kabsa kwa m'ume km vile ni baba yako huyo.. Jiamn mwenyew, furaha ya maisha yako isitegemee uwepo wa mtu mwngne eti kwamba akiondoka bas wew unaumia sn mpk unaweza kuumwa kabsa..
 
Wanawake ndio chanzo cha kuachwa. Mosi, mwanamke hakupi uchi mpaka umdanganye kwa asilimia 67.9%. Ukweli ni kweli, mwanaume au mwanamke hawezi kukaa bila kugegeda/dwa. Uwe ndani ya ndoa au nje lazima kupata hoyo kitu. Sasa mwanamke gani umwambie kwamba mimi nina girlfriend wangu, lakini nimekupenda wewe, tuchepuke? Hiyo moja.

Pili, wasichana wanaojiona warembo, ni wasumbufu sana. Unamtongoza analeta nyodo, anatukana, baadaye ukianza kuachia vocha, ooh mara unaambiwa nimeona kibody kizuri, unatoa hela then anakuwa anakukaushia, mwishoni anakupa mzigo. Ni sawa na kumkamata kuku baada ya kutokwa kijasho, ukimlamba siku ya kwanza, ya pili, namba unafuta. Tena demu wa hivyo, siku akikupa nakupa kishingoupande, lakini ukijikunja ukampa mahaba kweli, annzinduka na kuanza kukushobokea. Maana uligharimika sana hadi appetite ya mapenzi inakwisha. Hii huwa naitumia sana. Demu aliyenisumbua huwa napiga mara 2 na kutupa kuleeee.....
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.
Nitafute kwanza tusomane tabia, ila hamna sexy kwa kipindi kama miezi sita, huku tunachunguza kwa ujumla
 
Kwa utafiti wangu binafsi wanaume wengi japo sio wote linapokuja suala la mapenzi huweka uongo mwingi ili tu wapate penzi
Tatizo ni kubwa zaidi kwa young Age (18 to 30) lakini pia lipo kwa wale wa above 30 japo uongo wao mkubwa ni kusema hawajaoa wakati wameoa au kusema wapo kwenye mahusiano yenye shida wakati sio kweli

Suluhisho,
1. Kubali kuwa na marafiki na sio wapenzi hadi baada ya muda wa kutosha angalau miezi sita na kuendelea. kwa kufanya hivyo hawa wadogo kama hana nia njema huchoka na kutimka
2. Usitoe penzi kabisa kwa rafiki wakati wa mwanzo kabla ya kumfaham vizuri au pengine kutembelea nyumbani kwake (hata kama amepanga).
3. Marafiki wengi waongo hawapendi kufanya mapenzi nyumbani kwao; hupenda kufanya mapenzi Guest House wakati wengi wa kweli hupenda kufanya mapenzi nyumbani kwao
4. Epuka rafiki anaye kuletea mazawadi meeengi siku za mwanzo, wakati hata hajakujua vizuri lakini pia rafiki anayekununulia zawadi/offer kubwa ambazo ni zaidi ya uwezo wake, huyo sio mume kuna kitu anataka (mapenzi tuuu)
6. Epuka rafiki Mlevi
7. Epuka rafiki asiye jua Mungu
8. Epuka rafiki asiyependa ufahamike kwa marafiki/ndugu zake
9. Epuka rafiki asiyependa ndugu zake/wazazi wake

Endless list
Nafikiri Kosa lako ulipenda kwa haraka na kuwaamini mapema sana yale yote waliyokuambia bila kujipa muda kidogo wa kuwachunguza

Naamini unayo nafasi ya kupata mume Bora. Mungu akakidhi haja ya mahitaji yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom