Nashindwa kuwaamini wanaume

Nashindwa kuwaamini wanaume

feitty

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
2,595
Reaction score
4,205
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.
 
Most of the time wenye kupelekea mahusiano yavunjike ni wao kutokana na matendo yao
 
Sisi wanaume wengi ni waongo na ukijumlisha na ukicheche wa baadhi yenu ndio kabisa ushauri wangu baki single 4rever
 
Si wanaume wote ndo watakuumiza. Tatizo kubwa ni nyie kutoa tunda kabla hujaolewa, mwanaume akishakula na kusaza lazima abadilishe mlo. Ushauri wangu kwako na wengine; usitoe tunda kabl ya wakati wake, usiwe ombaomba wa vijisenti kwa mpenzi/mchumba wapo pia usiwe na papara kwa wanaume wengine. JITULIZE mpenzi wako atakuamini na utaolewa
 
Yeah watatu
Me kinachonikera muda nnaoupoteza wakati nikiwa nao
 
Hizo qualifications unazosema ww ni kama zipi
 
Habari za jumapili wana JF
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa.Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini
Samahani kwa uandishi me c mzoefu wakupost

Utakua una matatzo boyz wa3?? Ina maana wote hao ni wachafuzi tu hakuna hata mmoja wa kuweka kambi???

Umeshare nao mashuka ukiwa na umri wa kuanzia miaka mingapi?? Kama kuanzia 15-20 hapo lazima utalalama tu kwamba wanakugegeda na kukuacha kwanza wote hapo mnakua bado mna foolish age,wewe unataka walau pesa ya kucha,saloon,wakati boy hadi aombe kwao,na anapewa kwa ratiba.....
 
Habari za jumapili wana JF
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa.Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini
Samahani kwa uandishi me c mzoefu wakupost

Njoo kwangu mrembo hutajutia kuwa na mm ! Ni pm bible tuwasiliane nikutoe upweke.😀😀
 
Habari za jumapili wana JF
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa.Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini
Samahani kwa uandishi me c mzoefu wakupost

Njoo kwa wazee wenzako,tumekwepa mishale mingi!!
Bado nafasi unayo.... ingawa kuolewa sio lazima,ila inaleta heshima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom