Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,383
Kwahiyo huyu ndiyo atakuja kuwa mpenzi wake sio
Huyo ndiye mpenzi wa kweli na hakuachi wala kukuumiza dawamu.
Kwahiyo huyu ndiyo atakuja kuwa mpenzi wake sio
Hata sijawahi kuumizwa mwenzio.
Wewe utakuwa MALAYA! 3relation??? kwa 24+ wote wana CHUNGULIA wanaondoka!!! ulianza nao lin? na ulkaa na wastn muda gan
Sasa inakuwaje unashindwa kuamini wanaume? au wewe ndio unawaumiza, so inabidi ujihami?
Umeumizwa wapi?
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Baba yangu aliniambia "kamwe usije ukamuamini mwanaume, hata mimi" and its true, have seen alot, sio kwavile sijawahi kuumizwa basi nyie ni wa kuaminiwa.
Baba yangu aliniambia "kamwe usije ukamuamini mwanaume, hata mimi" and its true, have seen alot, sio kwavile sijawahi kuumizwa basi nyie ni wa kuaminiwa.
Nimekutafuta sana.........upo wapi siku hizi..........?.......
Wewe utakuwa MALAYA! 3relation??? kwa 24+ wote wana CHUNGULIA wanaondoka!!! ulianza nao lin? na ulkaa na wastn muda gan
Tabora kwetu
mbona unamtukana mleta uzi? asubuh ulikuwa unatafuta nini?
Binti aliye tayari kufunga ndoa ni mkristo leo tu nimetoka kupima sina virus
Alikuwa anajaribu kukulinda tu, it's what almost every father tell their daughters. Hata sisi mama zetu huwa wanatuambia tusiwaamini.
Ahhhhhhh!....mbona mimi sitafutwi jamani!!
lazima kuna mwanaume alikufanyia kitu kibaya...
Aisee..........
mkuu.......are you serious...........?.......
Hakuna, nimeshuhudia mengi ujue, so he was totaly right.