Nashindwa kumwaga raundi ya pili

Nashindwa kumwaga raundi ya pili

Umuofia kwenu wadau...........aisee leo imenilazimu niandike huu uzi maana kuendelea kuficha maradhi aibuuu itaniumbua. Mimi ni kijana miaka 30+ kama nilivyoeleza hapo juu.

Kila nikikutana na mpenzi wangu nachelewa kumwaga raundi ya kwanza Dk 10-15 vizuri tu bila shida. Nikimaliza raundi ya kwanza hamu huwa inakata baada ya muda dushe linasimama kuendelea 2nd round.

Tatizo linaanzia kwenye raundi ya 2 nitasugua weeeeee geuza style zote wapi wazungu hawatoki ng'o. Ila jamaa yupo standby mode.

Sasa wadau nimekuja kwenu najua mna uzoefu na hili jambo naombeni msaada wenu.
Mwambie ainyonye halafu azamishe tena ukishindwa hivyo mkumbuke demu mkali kitaani kwenu au hata vuta picha unamgegeda Amber lulu utamwaga faster
 
huo ugali wa mtama vip kwenye haja kubwa kinyesi hakisumbui kutoka?
Unakunywa maji mengi wala husumbuki, plus matunda na mboga za majani, ila kuwa makini nguvu zisije kuwa nyingi zikalipitiliza maana ukila mwezi tu, utaona mabadiliko.
 
Unakunywa maji mengi wala husumbuki, plus matunda na mboga za majani, ila kuwa makini nguvu zisije kuwa nyingi zikalipitiliza maana ukila mwezi tu, utaona mabadiliko.
vip wenye vibamia itasaidia?
 
Chapa supu ya pweza weka pilipili ya kutosha humo pampja na kipome cha karanga piga na parachichi la Burundi zima 1hr before mtanange, halafu urudi hapa kutupa mrejesho, wakatabahu
1hr before intercourse chakula kinabadilishwa kuwa sperm?
Mmmh!?
Labda kama hiyo ni enhacement drug au food supplement.
 
Umuofia kwenu wadau...........aisee leo imenilazimu niandike huu uzi maana kuendelea kuficha maradhi aibuuu itaniumbua. Mimi ni kijana miaka 30+ kama nilivyoeleza hapo juu.

Kila nikikutana na mpenzi wangu nachelewa kumwaga raundi ya kwanza Dk 10-15 vizuri tu bila shida. Nikimaliza raundi ya kwanza hamu huwa inakata baada ya muda dushe linasimama kuendelea 2nd round.

Tatizo linaanzia kwenye raundi ya 2 nitasugua weeeeee geuza style zote wapi wazungu hawatoki ng'o. Ila jamaa yupo standby mode.

Sasa wadau nimekuja kwenu najua mna uzoefu na hili jambo naombeni msaada wenu.
... ridhika na CC alizokupa mtengenezaji!
 
Kwani mnataka muongeze nguvu za nini? Tumieni nguvu hizo hizo za kawaida mlizonazo zinatosha, au mnataka mwanamke awachoke ili muongeze mwanamke wa pili kisirisiri?
nguvu za kawaida hazitoshi tunataka ziwe nyingi zigine tukopeshe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom