Nape alijitokeza na kutishia wote waliouliza kuhusu alipo Makamu wa Rais. Kwa kipindi kifupi alipigwa spana Tweeter za kutosha.
Hazikuwa spana kavu bali na vifungu vya sheria na katiba na kidogo wakampekua hata mambo yake mengine. Ametulia!
Chalamila alijivika Uamiri Jeshi (kwa cheo cha Mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa (neno ulinzi limeondolewa).
Alichokutana nacho leo kafanya usafi na wajumbe.
Hii nchi ni yetu sote tusimamie zaidi katika sheria na katiba kuliko Uchama.
Hazikuwa spana kavu bali na vifungu vya sheria na katiba na kidogo wakampekua hata mambo yake mengine. Ametulia!
Chalamila alijivika Uamiri Jeshi (kwa cheo cha Mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa (neno ulinzi limeondolewa).
Alichokutana nacho leo kafanya usafi na wajumbe.
Hii nchi ni yetu sote tusimamie zaidi katika sheria na katiba kuliko Uchama.