nimeambiwa elimu ya nape ni kidato cha nne.sasa hakuna haja ya kujibizani na huyu tambwe hiza wa ccm
So kila upupu anaoongea Nape ni wa kuungwa mkono.....ikiwemo kuhubiri chuki dhidi ya makabila mengine???? we cant go that low....
hizi juhudi za kudivert attention ya watu dhidi ya ufisadi tu si kingine.....
CCM wajumbe wa kamati kuu juzi wamegawana magari .....nadhani CHADEMA ni kuwaonea kufikiri kuwa wanao uwezo wa kununua magari mapya.....hivi vyama ni vichanga......HATA TANU ILIKUWA INAAZIMA MAGARI KWA KINA JOHN RUPIA na Kina DOSSA Aziz....na hata walipopata uwezo walilipa baadhi ya vitu walivyoweza kwa hawa mabwana........sasa kama mwanachama au kiongozi wa chama amejitolea ..magari kuna ubaya gani ..ni mambo ya ndani ya chama husika.....
CCM wamefanya ufisadi mkubwa sana kwenye EPA pesa zikaishia kwa Rostam kwa madai kuwa amejilipa....hamtaki tuongee hayo mnataka tuongee ya chama kichanga kununua magari mtumba??? CHADEMA Wataweza lini kumudu malori ya kampeni ya Scania kama yale ya TOT....bei ya moja ni 200 m.......or more...waacheni waendelee kununua magari makuu kuu hadi Watakapoweza ...jiulizeni Elimu inayosambazwa na hayo magari makuu kuu utailinganisha na magari ya CCM yasiyo na tija hadi wameamua kugawana ..!!....mnategemea ruzuku ndogo wanayopata wapinzani inaweza kununua magari mangapi mapya?? katika hali ya kawaida ni watanzania wangapi wanamudu kununua magari mapya kabisa show room?? zaidi ya serikali na wachache ..??..magari mtumba ndio ya watanzania wengi..
nimeambiwa elimu ya nape ni kidato cha nne.sasa hakuna haja ya kujibizani na huyu tambwe hiza wa ccm
LOL! Chadema go back to waberoya's thread , all thread that you thought I am against you actually was with you! the game has changed.....
There is no rules in politics you get what you deserve,, whn you say m.k.w.e.r.e Nape say wachaga..you say fisadi he will say fisadi
the game continues...
Let me remind you, I said, kukosoa serikali, kutangaza sera, kuleta suluhisho ,mbadala ndiyo siasa
in tha past six months sijaona siasa kwenye chadema bali chaos na inajibiwa kwa sma chaos
wengine kazi imepungua...TARATIBU WOTE WATABADILIKA AND THEY WILL START TO TALK SENSE!
kwa maana nyingine ccm wakiongeza nguvu kidogo tu chadema inazikwa....didn't i say that?
Kama taratibu zilikiukwa na kama wanachadema wanaona ni ufisadi,basi wana haki kuuliza maswali.ccm haiwezi kuwa na nia nzuri na chadema na hivyo sidhani kama watawasikiliza wanapropaganda hao wa ccm.Kama uamuzi wa kukiuzia chama malori hayo ni wa kifisadi.Then wekeni facts hapa.Wezi wa EPA facts zao ziliwekwa hapa.We want facts not porojo.CDM, endeleeni kutaka kusikia mpendayo kuyasikia na yale msiyopenda kuyasikia endeleeni kuyapuuza. Kama ni kweli Mh. Mbowe kawauzieni hizo fuso 3 used kwa jumla ya sh 480m, ata zingekuwa 5 bado ni ufisadi wa mchana kweupe! Kanusheni haraka kama si kweli.....
CCM, endeleeni kuyapokea yote mtakayo kuyasikia na msiyoyataka kuyasikia.Jivueni GAMBA haraka na ata ikibidi mjinyonyoe NGOZI.
- Kule US wanasema huwezi kukamata wauza drugs kama na wewe hukujiunga nao kuuza drugs, wacha warushiane pumba wee and soon one ata-realize kwamba he is damaged beyond the political measures, ndio wataanza kuongea hoja na sense,
- What is happening now is good kwa taifa, maana kama Mwenyekiti anawauzia chama chake malori mabovu, akipewa urais atatuuzia nini taifa? Mbona ni common sense kidogo tu!
FMEs!
CDM, endeleeni kutaka kusikia mpendayo kuyasikia na yale msiyopenda kuyasikia endeleeni kuyapuuza. Kama ni kweli Mh. Mbowe kawauzieni hizo fuso 3 used kwa jumla ya sh 480m, ata zingekuwa 5 bado ni ufisadi wa mchana kweupe! Kanusheni haraka kama si kweli.....
CCM, endeleeni kuyapokea yote mtakayo kuyasikia na msiyoyataka kuyasikia.Jivueni GAMBA haraka na ata ikibidi mjinyonyoe NGOZI.