pole sana nape kwa kumbia shule ukadandia jeneza la ccm. Unafanya kazi bure . Bisy doing nothing.
- Can you imagine Mwenyekiti wa CCM angeiuzia CCM malori yake mabovu? Duh! si ingekwua kiama na maandamano ya Dunia!
FMEs!
- Fairplayer Nape is doing a great job, with in a month tayari the game has changed, sasa kuna balance ya pumba za pande zote mbili which is what is politics is all about, katibu mwenezi wa chama ndiye msemaji wa chama! ya elimu hayahusu maana tukianza kuulizia elimu za viongozi wetu wa pande mbili itakua aibuu, let the politics be politics! CCM taifa hawawezi kumchagua Nape kwa sababu ya baba yake bila kuwa na uwezo, ingekuwa kweli mtoto wa Warioba asingeshindwa U-mayor!
- I mean look all over sudden, JF ya Zitto sasa imekua Nape, and Nape and Nape, mti wenye matunda mazuri ndio hurushiwa mawe sana, Nape is doing a great job maana ndio kazi ya msemaji wa chama cha siasa, kama Bob alivyokuwa msemaji wa Saddam!
FMEs!
- Fairplayer Nape is doing a great job, with in a month tayari the game has changed, sasa kuna balance ya pumba za pande zote mbili which is what is politics is all about, katibu mwenezi wa chama ndiye msemaji wa chama! ya elimu hayahusu maana tukianza kuulizia elimu za viongozi wetu wa pande mbili itakua aibuu, let the politics be politics! CCM taifa hawawezi kumchagua Nape kwa sababu ya baba yake bila kuwa na uwezo, ingekuwa kweli mtoto wa Warioba asingeshindwa U-mayor!
- I mean look all over sudden, JF ya Zitto sasa imekua Nape, and Nape and Nape, mti wenye matunda mazuri ndio hurushiwa mawe sana, Nape is doing a great job maana ndio kazi ya msemaji wa chama cha siasa, kama Bob alivyokuwa msemaji wa Saddam!
FMEs!
So kila upupu anaoongea Nape ni wa kuungwa mkono.....ikiwemo kuhubiri chuki dhidi ya makabila mengine???? we cant go that low....
hizi juhudi za kudivert attention ya watu dhidi ya ufisadi tu si kingine.....
CCM wajumbe wa kamati kuu juzi wamegawana magari .....nadhani CHADEMA ni kuwaonea kufikiri kuwa wanao uwezo wa kununua magari mapya.....hivi vyama ni vichanga......HATA TANU ILIKUWA INAAZIMA MAGARI KWA KINA JOHN RUPIA na Kina DOSSA Aziz....na hata walipopata uwezo walilipa baadhi ya vitu walivyoweza kwa hawa mabwana........sasa kama mwanachama au kiongozi wa chama amejitolea ..magari kuna ubaya gani ..ni mambo ya ndani ya chama husika.....
CCM wamefanya ufisadi mkubwa sana kwenye EPA pesa zikaishia kwa Rostam kwa madai kuwa amejilipa....hamtaki tuongee hayo mnataka tuongee ya chama kichanga kununua magari mtumba??? CHADEMA Wataweza lini kumudu malori ya kampeni ya Scania kama yale ya TOT....bei ya moja ni 200 m.......or more...waacheni waendelee kununua magari makuu kuu hadi Watakapoweza ...jiulizeni Elimu inayosambazwa na hayo magari makuu kuu utailinganisha na magari ya CCM yasiyo na tija hadi wameamua kugawana ..!!....mnategemea ruzuku ndogo wanayopata wapinzani inaweza kununua magari mangapi mapya?? katika hali ya kawaida ni watanzania wangapi wanamudu kununua magari mapya kabisa show room?? zaidi ya serikali na wachache ..??..magari mtumba ndio ya watanzania wengi..
- Fairplayer Nape is doing a great job, with in a month tayari the game has changed, sasa kuna balance ya pumba za pande zote mbili which is what is politics is all about, katibu mwenezi wa chama ndiye msemaji wa chama! ya elimu hayahusu maana tukianza kuulizia elimu za viongozi wetu wa pande mbili itakua aibuu, let the politics be politics! CCM taifa hawawezi kumchagua Nape kwa sababu ya baba yake bila kuwa na uwezo, ingekuwa kweli mtoto wa Warioba asingeshindwa U-mayor!
- I mean look all over sudden, JF ya Zitto sasa imekua Nape, and Nape and Nape, mti wenye matunda mazuri ndio hurushiwa mawe sana, Nape is doing a great job maana ndio kazi ya msemaji wa chama cha siasa, kama Bob alivyokuwa msemaji wa Saddam!
FMEs!
LOL! Chadema go back to waberoya's thread , all thread that you thought I am against you actually was with you! the game has changed.....
There is no rules in politics you get what you deserve,, whn you say m.k.w.e.r.e Nape say wachaga..you say fisadi he will say fisadi
the game continues...
Let me remind you, I said, kukosoa serikali, kutangaza sera, kuleta suluhisho ,mbadala ndiyo siasa
in tha past six months sijaona siasa kwenye chadema bali chaos na inajibiwa kwa sma chaos
wengine kazi imepungua...TARATIBU WOTE WATABADILIKA AND THEY WILL START TO TALK SENSE!
kwa maana nyingine ccm wakiongeza nguvu kidogo tu chadema inazikwa....didn't i say that?
Niko page one tu naona watu walivopaniki.wakimsihi anyamaze.dah,yaonekana anawapa headache watu humu,sababu kama anajiharibia yanini kumsihi anyamaze ama wanaCDM Mmepata huruma tena kama mlivobadilika na kuanza kuwahurumia wale mapacha?
Ukweli huyu NAPE anahit target..mh,goja niende page 2
Duh! magazeti mengine eti kahama na wanachama 100 kesho mimi nikitangaza kuhama na wanachama 9,000 mtakataa halafu mbona wawili tu walikuwa wanapeana chumbani nini.
![]()
Kweli chama chetu kimefulia zamani tulikuwa tunapamba gazeti letu kwa picha na kuonyesha mandhari na umati wa watu siku hizi hata picha tunapiga kimtindomtindo tumechuchumaa wasijue wangapi walishuhudia kweli siku hazilingani, na wewe mleta habari huoni unazidi kuwaaibisha wenzako.Ni Gazeti la Chama Cha Mapinduzi Uhuru; Waandishi wake wamesoma TSJ na umaridadi wa Uongo