City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
Kwanza nahisi hiyo story yake ya kuumizwa kuna ushigongo ndani yake.huyo alikuwa na kiraru cha ndoa and akajua mimba inaweza kumtimizia ilo hitaji lake.just wait ajifungue mkuu coz unaweza umiza kichwa kumbe hata mtoto sio wako.ni hayo tuu