nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Hapa una point aisee. Coz huyo jamaa aliyeachana nae aliamua kuoa another girl baada walipoachana.
Hili nililijua baada ya kuona txt ya m2 anayemfahamu akimwambia kuwa x wake kaoa tayari.
Si ajabu huyo ex aliangalia mbali na kuona tabia yake si ya wife material ndio maana aliamua kumbwaga pamoja na kuwa mzuri...