Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
FHL
Hakuna cha uzi kufungwa ndugu kwani bado hujapata dozi ya kukutosha. Kimsingi mahusiano yenu yamejengwa juu ya zinaa na uasherati so usishangae 2015 ikapita kama usiku na unachotafuta usikione. Sasa nawashauri. Kwa kuwa mmeshatenda kosa a kubebana, na mwanamke ana ujauzito, nendeni kwa viongozi wa kanisa lenu muwaelezee mambo yenu kisha mtubu kwa dhati kisha MFUNGE NDOA na mrudi kwenu mkaishi kama mke na mume. Ulipomweka ndani mapema ulifurahia ngono kwa kuwa ni mzuri. Sasa ukweli unajionyesha unaanza kumwona ni mbaya. Hata ule uzuri hauuoni tena. Yawezekana ni mimba pia ila fuateni ushauri wangu.
Hakuna cha uzi kufungwa ndugu kwani bado hujapata dozi ya kukutosha. Kimsingi mahusiano yenu yamejengwa juu ya zinaa na uasherati so usishangae 2015 ikapita kama usiku na unachotafuta usikione. Sasa nawashauri. Kwa kuwa mmeshatenda kosa a kubebana, na mwanamke ana ujauzito, nendeni kwa viongozi wa kanisa lenu muwaelezee mambo yenu kisha mtubu kwa dhati kisha MFUNGE NDOA na mrudi kwenu mkaishi kama mke na mume. Ulipomweka ndani mapema ulifurahia ngono kwa kuwa ni mzuri. Sasa ukweli unajionyesha unaanza kumwona ni mbaya. Hata ule uzuri hauuoni tena. Yawezekana ni mimba pia ila fuateni ushauri wangu.
Last edited by a moderator: