Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,116
34,075
Habarini wadau,

Ramadhan Kareem to all Muslim in here...!

Wewe ni mwanaume mfupi, Andunje, Nyadundo kama mimi, kwanini una kiherehere cha kuoa Mwanamke mrefu kukuzidi? Mwanamke akikuzidi urefu ni sawa na kukuzidi akili. Kwanza hata wenyewe hawatupendi Wanaume wafupi

Huu ni utafiti rasmi kwa dunia nzima na references zipo, sijawahi kusikia Mwanamke anasema anapenda mwanaume mfupi hasa mwenye kitambi

Kwanza kumpata lazima uwe na pesa. Na yeye atakukubali kwa pesa zako ila sio kwa sura yako, umbo, na caring nyingine yoyote.

- Mwanamke Mrefu ukipiga naye picha utakosa hata confidence na hataipenda hiyo picha....kifupi picha itakuwa mbayaa

- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata kutembea nae au kwenda nae popote hata kama mmependeza vipi utakosa confidence nayeye hatafurahia hilo

- Mwanamke mrefu kukutambulisha kwa wenzie au kwa ndugu zake halafu kama umekaa ukaambiwa usimame kuna watakaoanza kukucheka, watasema ana hela lakini......blah blah kibao

- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata mkilala kitandani na wakati wa sex na kuchange positions...hahaha sisemi zaidi

- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkizinguana atapata sababu ya kukusema vibaya au kukutania katika jamii

- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkigombana ataweza kukupiga, hasa makonzi

NB: Kama wewe mfupi usimuoe mwanamke mrefu kukuzidi hasa kuanzia 8 Inches na kuendelea mpaka futi kadhaa, muoe mfupi ili uenjoy mapenzi na kuwa huru katika maamuzi na mitoko mbalimbali

Shauri yenu Andunje wenzangu muonekane Watoto mbele ya wake zenu.


====
1679833804754.jpeg
Pia soma: Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu
 
Moja ya hasara kubwa kwa mwanamume ni kutojiamini mbele ya mwanamke na kutojua thamani na maana ya uanamume wake mbele ya mwanamke......

Hakuna mwanamke mwenye ujanja mbele ya mwanamume anayejiamini na kutambua thamani na nafasi yake mbele ya mwanamke hata kama uwe mfupu kama jagi.....
 
Habarini wadau,


Ramadhan Kareem to all Muslim in here...!


Wewe ni mwanaume mfupi, Andunje, Nyadundo kama mimi, kwanini una kiherehere cha kuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?


Mwanamke akikuzidi urefu ni sawa na kukuzidi akili.

Kwanza hata wenyewe hawatupendi Wanaume wafupi

Huu ni utafiti rasmi kwa dunia nzima na references zipo, sijawahi kusikia Mwanamke anasema anapenda mwanaume mfupi hasa mwenye kitambi


Kwanza kumpata lazima uwe na pesa. Na yeye atakukubali kwa pesa zako ila sio kwa sura yako, umbo, na caring nyingine yoyote.


- Mwanamke Mrefu ukipiga naye picha utakosa hata confidence na hataipenda hiyo picha....kifupi picha itakuwa mbayaa


- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata kutembea nae au kwenda nae popote hata kama mmependeza vipi utakosa confidence nayeye hatafurahia hilo


- Mwanamke mrefu kukutambulisha kwa wenzie au kwa ndugu zake halafu kama imekaa ukaambiwa usimame kuna watakaoanza kukucheka, watasema ana hela lakini......blah bhah kibao


- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata mkilala kitandani na wakati wa sex na kuchange positions...hahaha sisemi zaidi


- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkizinguana atapata sababu ya kukusema vibaya au kukutania katika jamii


- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkigombana ataweza kukupiga, hasa makonzi


NB: Kama wewe mfupi usimuoe mwanamke mrefu kukuzidi hasa kuanzia 8 Inches na kuendelea mpaka futi kadhaa, muoe mfupi ili uenjoy mapenzi na kuwa huru katika maamuzi na mitoko mbalimbali

Shauri yenu Andunje wenzangu muonekane Watoto mbele ya wake zenu.
Sasa wote muwe vijeba si mtazaa kijebax2
 
Hata kapicha lkn kujiamini nddio mpango.

Mm nimedate na taller ladies lkn hawakuwa na vigezo nanurefu wao kunizidi niliona kama kilema, japo sijaichukulia urefu wake kama kilema.
 
Back
Top Bottom