Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

kaka ndo wanawake walivyo kaka bt jifunze sana kusolve matatizo utaishi vizuri na hawa watu ila ukikimbia tatizo utakutana na lingine utakua mtu wa kuachana tu kaka plz kaa ongea nae myamalize tu
 
Kitu cha msingi ni kujiuliza je alikuwa na tabia hizo hata kabla hajapata mimba ?
Kama hakuwa ivyo labda ni hali ya yeye kuwa mjamzito ndio inayo msumbua lakini akijifungua hebu msikilizie kwanza habari ya kuendelea na gubu lake na matabia yake ya hovyo weka pembeni bwana na usidai hata kumi hiyo mahali ndio itakufanya uwe na uwezo wa kwenda kumwona mtoto na umchukue mwanao akikuwa maana umeonesha nia ya kuoa lakini mwanamke kakushinda kutokana na tabia zake
Pole sana shake well before use zina cost sana jamani
 
kwangu siwezi kabisa bestito

Ni msimamo nakuunga mkono ila kwa dunia ya leo fikiria kubadili msimamo na sababu ni hii hapa;

Wanaume wengi siku hizi wanatia shaka sana unaweza kujikuta unaolewa na shoga au na mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za kiume, hapo hakuna ndoa.

Kwa sisi wanaume hofu kubwa huwa ni kutaste kama uchi wako bado uko vizuri basi mambo mengine wala siyo issue kwa mwanaume mambo ya kujuwa kukatika hivyo ni ziada tu na wala siyo condition kwetu.
 
Mimi binafsi nadhani huu ni wakati ambao unalipia makosa uliyofanya tangua awali...

Umeruka hatua nyingi tangu awali na ndio maana hata sasa upo shidani...

Kwa kifupi huna jinsi, huu ni wakati wa kulamba shubiri uliyokoroga mwenyewe...



Kweli kabisa kuna vitu huwa vinahitaji umakini wa hali ya juu sana ukikosea unaharibu maisha yako yote
 
Mkuu nikuambie kitu? She is not that into you!!!! Hilo la Taulo limenighafirisha sana ukiwa na mpenzi wako bwana utatakiwa uwe huru.. Mimi navaa chup za mke wangu and she is ok... Bas siku nikivaa atacheka akampa mbavu zimuume she is happy with that!!! Tukinywa soda tunabadilishana no problem.... Sasa mkuu ukianza kuwekewa mipaka mke wako utakuwa free kwa nani, mimba sio ndoa usifungwe... Walk away while you still have the chance

mimi wife anavaa boxer zangu, tshirt zangu hasa zile za matukio kazini. Hilo lililomkuta mdau ujue ni tabu kabisa kutoka kwa huyo dada
 
Acha kwanza ajifungue usome upepo

Furaha yako ipo mikononi mwako
 

Attachments

  • 1414420202068.jpg
    1414420202068.jpg
    24.6 KB · Views: 93
Hibu halipo jaribu linalomzidi mtu uwezo, tumia hekima tu, jikomaze kuishi na watu hawa, nakwambia karibu yote yanamatatizo japo yanatofautiana. Ukimwacha utakutano na kiboko yake. Ni hekima yako tu ndio itakuimarisha. Kumuacha sio solution, treat her to align with your commandments! Ushauri mwingine ni kwamba, tulia hadi ajifungue, wanawake baadhi huwa na tabia tofauti na zile za awali wanapokuwa wajawazito, mkeo anaweza kukuchukia wewe mmewe. Treat her with kind of love till she goes on her labour. Baada ya hapo start a new phase of love.


Umenistua kidogo somewhere, inaonekana una mchepuko. Je kama anakuhisi unamcheat na wewe unajua kuwa huwa una cheat?....jihukumu pia wewe, kwa ku imagine kuwa anafaham hilo. Hata hivo, she might have reasonable problems kwa kuzima sim uck, kama ndio hivo, you all have hard way to go...



Dah, naweza sema ndio mkuu, coz wakati tunadoo kavu wote tulijua kabisa kuwa hizi ni days za danger, but yeye ndo alisisitiza nimwage tu inside. Anyway kwa hili sikuona tatizo sana coz nilijua kulea mke na mtoto wont be a problem kwangu, tatizo ni haya ninayoyaona.
 
nyie hamuaminikagi ni bora kuwa hivyo kuliko kupata jeraha juu ya jeraha
unadhani kidonda kitaponaje?

Bestito, ni kwa sababu gani? Umejifunza kupitia makosa au wewe huu mchezo wa kufunuana hujaujua?
 
heee Mungu baba nashindwa cha kuandika hapa

bestito huu ni msimamo wangu na hakuna mtu atakayeubadilisha kabisa
ni bora niwe hivi ili nimpendeze Mungu kuliko kuwapendeza wanadamu
ambao kwa kitambo kufumba na kufumbua tunapita
Ni msimamo nakuunga mkono ila kwa dunia ya leo fikiria kubadili msimamo na sababu ni hii hapa;

Wanaume wengi siku hizi wanatia shaka sana unaweza kujikuta unaolewa na shoga au na mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za kiume, hapo hakuna ndoa.

Kwa sisi wanaume hofu kubwa huwa ni kutaste kama uchi wako bado uko vizuri basi mambo mengine wala siyo issue kwa mwanaume mambo ya kujuwa kukatika hivyo ni ziada tu na wala siyo condition kwetu.
 
Aafu kampata november ,janury kamwingiza ndani ......hii ndio ghrama yake ilipe pole2
ah wee mwanamke anakwambia umwagee ndani wakati wa danger ujue huyo anakutega loh imekula kwako mwana no way out. Chezea wanawake wewe.....
 
Huenda hata hyo mimba si yako

huenda yy ndo alofumaniwa mara mbili akapigwa chin.. Nadhan unathbitisha mwenyeww kwa jins anavyokuwa msiri


kijana nimesikitika kuona unatawaliwa na mwanamke... Au umelimbuka na uzuri wake.

Kijana si kila mwanamke ni wa kuolewa....

Haijaloshi hyo mimba ni uko au si yako

MPIGE CHINI ENDELEA NA MAISHA YAKO KWANI ULIZALIWA NAYE???

Unaambiwa ni heri ukosee kujenga kuliko kuoa
utakufa kabla ya mda wako

best wishes
 
ah hukuona tatizo wakati utamu umekoleaaa sasa ndio unaona tatizo lilipo kuwepo...ngumu kumpiga chini.
ala wife material ata siku moja hawezi kukuvulia chupi kabla ya ndoa au kuhamia kwa mwanaume.

Kwa kizazi hiki kuvua chupi kabla ya ndoa?,uko dunia ya wapi aisee!
 
Pole! Nimekuonea huruma lakini. Furaha na amani yako ni kitu cha msingi na kukosea ni kwa kila mtu usijione wewe ndio umekosea saaana noooo! Au kumpa mimba na kutoa mahari si vitu muhimu kuliko furaha na amani yako. Pia ujue ndoa ni lifetime sentence so uchague. Uendelee kuishi kifungoni au ufuate amani na furaha yako?
Maisha gani hayo unataka kujidumbukiza miguu miwili? Alafu Mungu hayuko hivyo! Muombe Mungu toba then mapenzi yake yatimizwe katika hilo utaona kama ni huyo mtakaa vizuri na kila jema mtatendeana kama siye Mungu atakutenga nae bila vikwazo wa ugomvi. Usiogope Mungu yu pamoja nawewe mshirikishe Mungu mapema tena muda huu.

Maana wanawake wa tabia hizo wana mambo ya ajabu sana unaweza kusubiri ajifungue akajifungua salama akaact amejirekebisha kwa miezi 5 ukajisahau akakutegea mimba nyingine kujihakikishia umalkia ikifikia hapo ndio hurudi kabisa jukwaani. Ujue unavyowaza juu yake na yeye anawaza mbinu gani atumie kutimiza analolitaka kwako ukifanya masihara utajiona mdhambi mpaka mwisho. Amua sasa.
 
Demu hamjajuana mnakimbilia kuishi wote na kuzaa wote mwishoe kagundua wewe sio choice yake ni tamaa zake tu za kimwili.
 
nyie hamuaminikagi ni bora kuwa hivyo kuliko kupata jeraha juu ya jeraha
unadhani kidonda kitaponaje?

Hongera kwa kujitunza bestito. Ni wachache Sana karne hii wanaweza kubana mapaja hadi ndoa. Hata hivyo, Mimi nishaonja hiyo kitu...siwezi kukutizama tu huku nakuita mchumba, ni lazima nitake kula tunda. Hope utapata mnayeendana katika hilo..lakini utapata shida sana kumpata wa hivyo
 
Kiongozi uwe makini sana na maamuzi utakayofanya, kwanza una hakika mimba ni yako? unafikiri akikwambia mwagia ndani ndo una shabaha,,,,, hahahaahahaaaa, usiwe ----- mtozeni, akijifungua hakikisha unasample kujihakikishia kama kweli ni mwanao. Uhusiano wenu ni wa mfupi saha kiasi kwamba anaweza kuwa amekulaghai. Mahari isikutishe, ila wewe ndo utakaeamua unataka kuishi maisha ya LAA au KALAA (RAHAA AU KARAHA) kila la kheri.

Umenifanya ni think out of the box....
Hiv kwann aseme mwaga tu!!?....isije ikawa alikuja nayo
 
Back
Top Bottom