Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

FHL

Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
20
Reaction score
16
Hitimisho:
asanteni sana kwa ushauri mzuri wana jf, na wengine ambao wamenishauri kwa pm. Na hii ndio moja kati ya sababu za kujivunia kuwa na forum kama hii ambayo at least inatuunganisha watanzania katika raha na karaha, cha msingi nitaongea nae, na nitamonitor tabia zake mpaka ajifungue na for the whole 2015 if god wish, na hata kama ilikuwa ni mimba ndio inamsumbua i am sure nitafahamu yote ndani ya siku 365 za mwaka 2015 hapo namaanisha angalau nikiona she is well, naweza fikiria kumuoa kuanzia 2016 huko tena kwa kuhakikisha nipo ready kwa chochote kinachoweza tokea ndani ya ndoa, tofauti na hapo i will let her go for good.

Pia kwa wadau wanaouliza kama mimba ni yangu au sio yangu kwa hilo halinipi mawazo coz zile siku alizo conceive nilikuwa nado naye nearly everyday the whole month kuanzia siku anamaliza her last period mpaka siku anamiss her expected next period. Na kumbuka ninaishi naye so hakuwahi kutoka kwamba labda alienda kulala somewhere around those days.
Hivyo hilo halinipi shaka zaidi ya tabia alizokuja kuonesha baadae.

*mods you can close this topics,
 
mh, unapata shaka kumuoa au kufunga nae ndoa? coz km umelipa mahari na unaishi naye tena anaujauzito traditionally you are married. OK nadhani hali yake ya ujauzito inapelekea atoe kauri km hizo. but kama toka mwanzo was the same take hard decision mapema
 
duh pagumu hapo. ulishamtia mimba ndio tatizo ata kumbwaga ilishakuwa ngumu.

advise hapa ni u pay the price ya choices zako. imekula kwako mwana. muoe na mlee mtoto huyo.

just out of curiosity...hiyo mimba mlikubaliana?
 
duh pagumu hapo. ulishamtia mimba ndio tatizo ata kumbwaga ilishakuwa ngumu.

advise hapa ni u pay the price ya choices zako. imekula kwako mwana. muoe na mlee mtoto huyo.

just out of curiosity...hiyo mimba mlikubaliana?
Dah, naweza sema ndio mkuu, coz wakati tunadoo kavu wote tulijua kabisa kuwa hizi ni days za danger. Anyway kwa hili sikuona tatizo sana coz nilijua kulea mke na mtoto wont be a problem kwangu, tatizo ni haya ninayoyaona.
 
mh, unapata shaka kumuoa au kufunga nae ndoa? coz km umelipa mahari na unaishi naye tena anaujauzito traditionally you are married. OK nadhani hali yake ya ujauzito inapelekea atoe kauri km hizo. but kama toka mwanzo was the same take hard decision mapema

Upo sahihi mkuu, ishu ni kwamba sikukaa nae muda mrefu sana kumsoma, na huenda alitaka abebe fasta fasta coz alijua nitambwaga kwa tabia zake, na kweli, isingekuwa mimba ningeshamtema siku mingi sana.

Na hapa ananionesha matatizo mengi sana lakini mengi na assume ni kutokana na ujauzito, na naona kama nikimuoa soon baada ya kujifungua inaweza kula kwangu.
 
ah wee mwanamke anakwambia umwagee ndani wakati wa danger ujue huyo anakutega loh imekula kwako mwana no way out. chezea wanawake wewe.....
 
Dah, naweza sema ndio mkuu, coz wakati tunadoo kavu wote tulijua kabisa kuwa hizi ni days za danger, but yeye ndo alisisitiza nimwage tu inside. Anyway kwa hili sikuona tatizo sana coz nilijua kulea mke na mtoto wont be a problem kwangu, tatizo ni haya ninayoyaona.

ah hukuona tatizo wakati utamu umekoleaaa sasa ndio unaona tatizo lilipo kuwepo...ngumu kumpiga chini.
ala wife material ata siku moja hawezi kukuvulia chupi kabla ya ndoa au kuhamia kwa mwanaume.
 
FHL, Pole kaka yangu kwa yanayokusibu during this time. Naomba ujiulize kabla haujaweka a hard decision Je kabla ya ujauzito Je alikuwa hivyo hiyo mchumba wako?

Kama yes yatizame Je yanafanana, na yes ni mangapi, na kama no basi itakuwa ni ujauzito, naomba umsome vizuri huyo Dada kwa sababu dear vimeo Viki bungo na ukishafunga ndoa ndio basi hiyo kwa wale Wa kanisani!.

Kumpa ujauzito huyo mchumba isiwe sababu ya wewe kulazimishwa au kulazimisha kufunga Ndoa kisa ni ujauzito, have you think about your hapinness? Okay may be not how about her happiness? Or how about your unborn baby?

Listen bro don't move or make decision with emotional think a head. And I'm not say this ummisi treat your woman no , hebu kwanza kabla hujawaza kumuoa soon , waza jinsi uhusiano wenu ukoje. Kama kuna nyufa zitengenezwe pole pole then ndio step ya ndoa ianze.

Inmean time naomba uvumilie Mtoto azaliwe baada ya hapo usiharakishe ndoa , fuatilia hali kwanza itakavyokuwa kama ulilwa the same then huyo ndio tabia yake na si ujauzito tena , hapo sasa ndipo pa kufikiria nini utafanya. Na kama baada ya kujifungua Haya mambo ya sasa yakiwa hayapo then mkae chini mpange mipango yenu ya maisha.

Katika kipindi hichi wakati unavumilia jaribu kuongea nae kwa upole na kumuuliza kulikoni , just put your feelings out there , jinsi unavyojisikia kwa Yale anayokufanyia , usichoke dear ndio mahusiano hayo, kama ukiona haisadii kwa kueleza hisia zako ,basi vumilia kwa sasa mpaka hapo Mtoto azaliwapo na ujaribu tena kuongea nae.

Only in only just follow your heart kwa maana wewe ndiye unamjua huuo mpendwa wako. One thing kufanya mchepuko si deal maradhi kibao out there. Halafu kumbuka kuachana na baby Mama wako haionyeshi kuwa you ate a bad father no, as long as you will b there for your child nothing wrong .

Ila jaribu kama mtaweza kufix mambo yenu it will.be even better for your little one. Good lucky! Thanks.
 
Last edited by a moderator:
We naee una mitazamo negative ye si keshakuambia walikubaliana na yeye haoni tatizo?

mitazamo negative wapi wewe.....tatizo lenu nyie mie nikisema wife material ni mwanamke aaie gawa papuchi kabl ya ndoa mnakasirika povu la nini ndio ukweli.

alafu huyu jamaa amebugi either way lazima consequences za poor decision yake azikumbe.
 
Mimi binafsi nadhani huu ni wakati ambao unalipia makosa uliyofanya tangua awali...

Umeruka hatua nyingi tangu awali na ndio maana hata sasa upo shidani...

Kwa kifupi huna jinsi, huu ni wakati wa kulamba shubiri uliyokoroga mwenyewe...
 
Ww umesha toa mahali just komaa mwana mm mwenyewe ninaye kama huyo ila kwa sasa yupo kwao iliapunguze monkali ni balaaa.
 
kumwacha mke umemlipia mahari, mnaishi wote tena mmepata mtoto si rahisi kihivyo labda utoke mwenyewe ndani umwache yeye ni vigumu sana hasa km mna kaa nyumba yenu.
 
Mkuu nikuambie kitu? She is not that into you!!!! Hilo la Taulo limenighafirisha sana ukiwa na mpenzi wako bwana utatakiwa uwe huru.. Mimi navaa chup za mke wangu and she is ok... Bas siku nikivaa atacheka akampa mbavu zimuume she is happy with that!!! Tukinywa soda tunabadilishana no problem.... Sasa mkuu ukianza kuwekewa mipaka mke wako utakuwa free kwa nani, mimba sio ndoa usifungwe... Walk away while you still have the chance
 
Mimi binafsi nadhani huu ni wakati ambao unalipia makosa uliyofanya tangua awali...

Umeruka hatua nyingi tangu awali na ndio maana hata sasa upo shidani...

Kwa kifupi huna jinsi, huu ni wakati wa kulamba shubiri uliyokoroga mwenyewe...

wee ndio una akili mwana.
 
Back
Top Bottom