kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kuna demu sigle mother fulani ambaye natoka naye
Huyo demu waliachana na Mme wake mwaka 2020 mpaka sasa
Baada ya kuachana kwao Mme wake akaoa mwanamke mwingine na yeye akarudi kwao
Sasa kuna siku alikuwa anaumwa saana na alikuwa anakosa pesa za kumtibisha mimi Kama jirani yake nikamsaidia akaenda kutibiwa
Kwa bahati nzuri akapona baada ya kupona kwake
Tukazoeana saana kabisa mpaka nikaanza kuchukuwa point tatu zangu pale kwake
Nikiwa na upwiru
Sasa kuna siku aliniomba mtaji kuwa anataka kuanza biashara ya kuuza viatu vya yeboyebo nikampa Kama kawaida
Cha ajabu kadiri siku zinavyozidi kusonga Naona anazidi kutoboa anga tu yaani anazidi kufanikiwa
Alianza na viatu kwasasa ana mafuta ya wakina dada na nguo za ndani za wakina dada na Jana ile kuna plan ya maisha aliniambia ikija kutimia Basi atakuwa mfanya biashara mkubwa
Naona ana akili ya maisha saana
Mpaka natamani saana kumuoa huyu dada
Ila nikifikiria X Mme wake ni Kijana wa mtaani kwetu hapa mwili unakosa nguvu
Huyo demu waliachana na Mme wake mwaka 2020 mpaka sasa
Baada ya kuachana kwao Mme wake akaoa mwanamke mwingine na yeye akarudi kwao
Sasa kuna siku alikuwa anaumwa saana na alikuwa anakosa pesa za kumtibisha mimi Kama jirani yake nikamsaidia akaenda kutibiwa
Kwa bahati nzuri akapona baada ya kupona kwake
Tukazoeana saana kabisa mpaka nikaanza kuchukuwa point tatu zangu pale kwake
Nikiwa na upwiru
Sasa kuna siku aliniomba mtaji kuwa anataka kuanza biashara ya kuuza viatu vya yeboyebo nikampa Kama kawaida
Cha ajabu kadiri siku zinavyozidi kusonga Naona anazidi kutoboa anga tu yaani anazidi kufanikiwa
Alianza na viatu kwasasa ana mafuta ya wakina dada na nguo za ndani za wakina dada na Jana ile kuna plan ya maisha aliniambia ikija kutimia Basi atakuwa mfanya biashara mkubwa
Naona ana akili ya maisha saana
Mpaka natamani saana kumuoa huyu dada
Ila nikifikiria X Mme wake ni Kijana wa mtaani kwetu hapa mwili unakosa nguvu