Umeishi naye tangu january, umeshapeleka mahali kwao, anaujauzito wako halafu unasema unampango wa kumuoa baada ya kujifungua!!
Ckuelewi kabiisaa kk, nin maana ya ndoa?
Huo ni mzigo wako kaka tayari ushaoa siku nyingi, labda usemi unataka kufanya sherehe ya harusi.
Hicho kiburi chaweza kuwa ni hali ya ujauzito so vumilia ajifungue kwanza!!
Ckuelewi kabiisaa kk, nin maana ya ndoa?
Huo ni mzigo wako kaka tayari ushaoa siku nyingi, labda usemi unataka kufanya sherehe ya harusi.
Hicho kiburi chaweza kuwa ni hali ya ujauzito so vumilia ajifungue kwanza!!