Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Sikiliza, Mimba haiwezi kuwa kizingiti cha wewe kutomuacha.
Kisheria, ukiishi na mwanamke kwa zaidi ya miaka miwili na majirani zenu wawe wanawaona kuwa hawa watu wanaishi kama mke na mme nk. hapo hutakuwa na ujanja, lakini ninyi miaka miwili bado kwa hiyo unaweza kumuacha, ila lazima uwe tyr kutoa matumizi.
Sasa hiyo ni kisheria lkn kuna mambo ya kijamii nayo c ya kuyapuuza coz yapo, lazima ujiridhishe bila shaka kuwa kwa kumuacha huyo demu hutapata tatizo lolote kijamii, kwa mfano: yy mwenyewe au ndugu zake wa karibu Mama, bibi au shangazi nk. wanaweza kuamua kukukomoa kwa kuwaharibia binti yao, hope unanielewa maana yangu ni nini?
Sasa cha kufanya: mwambie aende ajifungulie kwao.
Nenda kwenu uongee na mama yako au wazazi wako wote, uwe wazi kwao.
halafu wao watakupa mbinu ya kufanya.
Kisheria, ukiishi na mwanamke kwa zaidi ya miaka miwili na majirani zenu wawe wanawaona kuwa hawa watu wanaishi kama mke na mme nk. hapo hutakuwa na ujanja, lakini ninyi miaka miwili bado kwa hiyo unaweza kumuacha, ila lazima uwe tyr kutoa matumizi.
Sasa hiyo ni kisheria lkn kuna mambo ya kijamii nayo c ya kuyapuuza coz yapo, lazima ujiridhishe bila shaka kuwa kwa kumuacha huyo demu hutapata tatizo lolote kijamii, kwa mfano: yy mwenyewe au ndugu zake wa karibu Mama, bibi au shangazi nk. wanaweza kuamua kukukomoa kwa kuwaharibia binti yao, hope unanielewa maana yangu ni nini?
Sasa cha kufanya: mwambie aende ajifungulie kwao.
Nenda kwenu uongee na mama yako au wazazi wako wote, uwe wazi kwao.
halafu wao watakupa mbinu ya kufanya.