Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,673
- 59,768
Wakati TFF inaanzisha ndoa na GSM tuliambiwa na kuonya kuwa hatuhusiki. Lakini baada ya muda tukahusishwa kinyemela. Tunataka sasa kujua hiyo ndoa imevunjika!? Na vipi kuhusu talaka na kugawana mali kwa wanandoa!?
Naona kwenye mitandao hamjaweka bango la GSM ndio kusema mnatuona sisi hutujui nyie mnaakili sana!?
Naona kwenye mitandao hamjaweka bango la GSM ndio kusema mnatuona sisi hutujui nyie mnaakili sana!?