Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Hili Ni kweli...List niliyonayo Ni said ya wadada watano wanaonesha interest kwangu waziwazi.....Imefikia hatua dada mmoja kajiondoa kwa kusema hao marafiki zake wamemjengea mpaka chuki kisa Mimi......Ila wote Sina time nap huyu mmoja she is best friend but she needs a man......Inatia huruma kwa kweli....
 
Wala alafu sasa nawapata wengi sana.... Imagine kuna mwanaume ananitongoza toka nikiwa na ujauzito wa miezi 3 mpaka nimejifungua saizi mtoto ana miezi 4... Bado tu ananilia timing mkaka wa watu..
ya kweli haya?
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
jomba au bamkubwa tatizo vizinga ,ndo maana hatutongozi tunasave pochi zetu zisitoboke
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
.imekua kaz sana wanatumia mda mrefu kutukubalia had unashtuka kua hv namlzmsha mtu aje anifilisi
 
Wanawake wengi kwa sasa japo sio wote wamegeuza mahusiano ni chanzo cha kujipatia kipato ,hii imejenga utegemezi na uvivu wa kujishughulisha mfano mtu anatongoza msichana leo jioni msichana anasema hana pesa ya kula, gesi imeisha , kodi inakaribia kuisha , birthday imekaribia (msichana huyu unakuta hana kazi yoyotr ila anawaza lufanya sherehe kubwa ya birthday)

Kupitia hili wanaume wanaona kama mapenzi ni exchange ya pesa na ngoni ndio maana wanasexualize wanawake na kuwaona ni vyombo vya kukata ashki zao kupelekea ngono kuwa rahisi kupatikana na mtu anaona ya nini kuwa na mtu tegemezi bora akanunue walio na tag price tayari(wauzaji wa barabarani au mitandaoni) leo hii kijana akiwa hana pesa hana uwezekano wa kupata mahusiano yaliyotulia.

Pande zote zina makosa na zinapaswa kujirekebisha kwenyr hayo niliyoyasema
 
Umeongea ukweli man
Binafsi sitongozag madem na wala sitoi hata cent ila nawala kama kawa
Yaan now days madem wamejirahisisha Sana wenyew wanamiss moment zile za kutongozwa yaan ukimuomba namba tayari ushamaliza mchezo mwambie tu kesho njoo Getto anakuja hakuna Cha chips kuku kmamae mwambie unga huo hapo mboga hizo hapo toa kitu
 
Kwa sababu wameweka hela mbele , acha na sisi tuweke uchumi wetu binafsi mbele hatuna haja nao tena..

Vijana ukikutana na mwanamke anakuja usawa wako huo ni mtego , vuka barabara hamia upande wa pili .
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Duuh
 
Mwanamke anataka usawa na mwanaume hasa hawa feminist,nature ya Mwanaume ni mamlaka/utawala,sasa hawa wanawake wa siku hizi atataka ampande kichwani Mwanaume wake,hakuna Mwanaume anayejitambua akakubali hilo,ni bora awe single ili kulinda brand yake ya uanaume.
Eti kulinda brand ila hamna kitu kinawakatisha tamaa wanaume ni kushushwa halafu hawa ma feminist walivyo yaani wanakuzingua tena mbele za watu!!!
 
Back
Top Bottom