Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

Je umewahi kufanya Kazi za usiku ?

Mfano kuwa Askari , mlinzi n.k

Umepita jeshini ?

If yes hali Kama hiyo alikuwa anapitia mzee Wangu .

Ila dawa iliyomtibu ni Chumvi ya mawe na mkaa .

Yeye alikuwa anaamka sana usiku na akilala anaona kitu au MTU anamkaba anapiga kelele Sana

So nilimpatia Tiba ya Chumvi ya mawe na katika kitanda anaweka mkaa kipande kidogo .

Hali hii imekata .

Hila ilichagizwa na
Kukaa jeshini
Kufanya Kazi za usiku
N.k
 
Bangi, tumia bangi boss.
6D7C54B8-CC09-422A-8202-2B6C656521C2.jpeg
 
Nimecheka hapo uliposema unaomba maombi ya Vita😂

Walokole utasikia mpige shetani mtama, rusha makofi yampate shetani huko alipo🤣🙌
Asisahau na sadaka ya kujimaliza

Kesho lazima atoe shuhuda,,

Shalom shalom,,

Shalom,,

Baba mchungaji maombi yako yameniponya hii ni madhabahu inayonena
 
Huo muda ukiamka ndio muda wa kusali
Ishawahi kunitokea
Kuna sk ilikuwa saa6 hadi saa12 napambana nayo siku lala
Kuna sk shetani kama shetani alikuja sitosahau hiyo siku
Walipanga kuniua
Ila asubuhi Mungu akasema usiogope
Kuna mstar alinionyesha
Hivyo ni vita vya Rohoni

Nakushauri soma Zaburi 35,54,25,91
Itasaidia
Asante sana
 
Kama wengi walivyo sema hapa unaweza kuwa na shida ya kupata hewa wakati umelala. Hii ndio wakati mwingine watu hupata ndoto za jinamizi kuwastua. Angalia unavyolala na kama chumba kina pata mzunguko wa hewa. Au nenda kwa daktari specialist wa mambo ya usingizi au kulala
 
Hapo kuna mojawapo kati ya haya, aidha unatatizo kwenye mfumo wa upumuaji, au unaandamwa na mizimu bila kujua, kuna jambo mizimu yako haijaridhika inajaribu kukuonya, kuifunga mizimu kwa maombi inahitaji nguvu kubwa sana ya kiroho na usafi nafsi, jaribu kuongea na wazee wa kwenu wa pande zote kwa baba na mama, kama wapo ambao hawajamezwa na uzungu.
 
Sikufahamu lakini kuna haya
Babako aliwahi kumtesa mtu na hata kumpoteza uhai na hakufanya kitubio chochote hivyo ile roho ya huyo mtu ndo inakusumbua sana..kama babako yupo rudi umuulze vzr..
AU
mizimu ya nyumbani kwenu inahitaji kujifungamanisha na wewe ili uitambikie sana ifurahie..
AU
au wazazi wako walimdhulumu mtu haki yake wakati wa uja uzito wako..

cha kufanya:
funga maombi siku 21 kwa imani yako ili kuvunja vita na mpango wa ibilisi..mkumbuke daniel aliomba sana lakn hakufanikiwa hadi alipofunga mfungo mkuu wa kupenyeza maombi.
Au..Kama huwezi kuomba rudi nyumbani fanya matambiko ya toba kwa familia yako ikiwemo kuyatambikia mizimu yenu.

ijapo ushauri wa kwanza unafaa sana lakn inabidi uache makando makando yote uliyo nayo hasa kile kipenzi chako, ROHO WA MUNGU hakai kwenye maisha ya baby.
Sawa ila kwa wazazi wangu na waamin hawana. Makuuu
 
Asante sana
juz yalikuja usiku nikawa nakemea bado magumu nikasoma
Zaburi hayakunisumbua
Na ukikemea ni chap yanatoka

Ni nguvu za giza
Ukisoma neno kuna nguvu inakaa ndani yako (light 💡)

Alf watu wachache wanaosumbuliwa na hayo mambo kuna vitu vikubwa wamebeba

Wakiangalia kwenye ulimwengu wa kiroho wanakuona ulichobeba wanaanza kukufuatilia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom