wolverineGG
JF-Expert Member
- Feb 13, 2025
- 1,409
- 2,465
Vile meili na ubongo vinashindwa ku-coordinate. Yaani meili unaweza ukawa umecheka unahitaji pumzika lakin ubongo unakua bado una energy, and vice versa.
Mwili huanza kudai muungano kwa kufanya rapid eyes move ment, the ubongo ndo unakupa picha ya kutisha ili adrenalin iweze ku-jumpstart movements za mwili.. Hili tukio lote huchukua kati ya sekunde 8 mpaka 15. hata kama ukiona umekaa kwenye hali hiyo kwa muda mrefu sana, hua ni wenge tu na ile uoga wa ushirikina ndo unafanya uone jambo ni kubwa.. lakini ni kawaida tu.