Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

jichunguze utotoni hali kama hiyo ilikuwa inanitokea nikaakaa nikatafakari nakujichunguza nikabaini nilikuwa nalala vibaya nakosa pumzi sasa mwili kwenye kuanza kukuamsha unaanzisha ndoto kama hiyo unaparangana unaamka!.. nilivyojua tu mpk leo nishasahau kama kuna hilo jambo!.
usidanganyike ati kuna jinamizi tena ikibidi kafatilie afya ya mwili wako vyema
Sasa mimi nalalga ubavu ubavu tu siwwz lala chali au kifudifudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom