Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,321
- 16,560
Amshike vifaa vya kukalia usingizini!!! Vijana hawana adabuHapo mpe mkeo alale naye coz ni shem wake hataota ndoto mbaya..!! 😹
Amshike vifaa vya kukalia usingizini!!! Vijana hawana adabuHapo mpe mkeo alale naye coz ni shem wake hataota ndoto mbaya..!! 😹
chumvi ya mawe au sioEndelea Ku enjoy hapa the home of great. Thinkers
Unaweza kulala hata jioni hadi saa 6 usikuKazi za watu ata fanya nani?
Jaribu kuchungulia Kwa watu kama watatu tofaut halaf linganisha matokeo, kesi kama hzo ni nyingi sana na wengi hawajijui, humu utaletewa ushauri wa kisomi Kwasabab wengi humu ni wanafiki wengine ni wachawi hvo hawawez kukuambia ukweliAhaha sio kweli
For sureEndelea Ku enjoy hapa the home of great. Thinkers
My friend kazi yangu mimi ina isha saa tatu usiku hapo hakuna wageni wageni wakiwepo saa sita usiku ndio naenda pumzikaUnaweza kulala hata jioni hadi saa 6 usiku
Nakubaliana na weweJaribu kuchungulia Kwa watu kama watatu tofaut halaf linganisha matokeo, kesi kama hzo ni nyingi sana na wengi hawajijui, humu utaletewa ushauri wa kisomi Kwasabab wengi humu ni wanafiki wengine ni wachawi hvo hawawez kukuambia ukweli
Usilale umetaza juu lala ubavu ubavu..Good morng
Ase hii kitu ina ni kwaza sana since nipo mdogo up now tena kipindi nipo mdogo nilikuwa sitamani usiku ufike kabisa ipo hivi
Usiku nikiwa nimelala naweza amka katikati ya usiku nikawa macho up saa kumi au saa kumi na moja na hapo unakuja usingizi ule mzito sana then na muona mtu ila nikitaka kunyanyua shingo nimuone sura nashindwa ana kuwa kama kani kandamiza shingo
Kinacho nikela zaidi nikiwa ugenini ndio kuzidi yaani na muona mtu na pigana nae kabisa ila sura si wezi ona nisha tumia kila mbinu hii hali iishe ina potea ina kuja tena nikisema niombe maombi ya toba na maombi ya vita vita usiku ndio ina kuwa kali zaidi kuliko kawaida
Nakuja kwenu kuomba ushauri njia ipi mzuri nitumie nataka niwe nalala usiku hii kitu ina chosha
Kama ni hivyo wewe tafuta hakika ya muda halisi ambao unapatwa na ilo tukio unachotakiwa kufanya ni kuu by pass tu..kikubwa kuliko vyote ni kuacha kwenda kanisani na msikitini au kwa waganga wa kienyeji ...hayo matatizo ni circle na hizo imani zilizo potoshwa kinyume na zilivyo kusudiwaMy friend kazi yangu mimi ina isha saa tatu usiku hapo hakuna wageni wageni wakiwepo saa sita usiku ndio naenda pumzika
Kuna mzee wa kuhindi ndio alinishauri na ilitibu tatizo
Sipat usingizi nikilala ivyoHebu jaribu kulala kifudifudi (kulalia tumbo).
Ndivyo nilalavyoUsilale umetaza juu lala ubavu ubavu..
SawaKama ni hivyo wewe tafuta hakika ya muda halisi ambao unapatwa na ilo tukio unachotakiwa kufanya ni kuu by pass tu..kikubwa kuliko vyote ni kuacha kwenda kanisani na msikitini au kwa waganga wa k8nmenyeji ...hayo matatizo ni circle na hizo imani zil8zo potoshwa kinyume na vil8vyo kusudiwa
Kabisa ila shida kupata mchungajiAiseee unahitaji upako kaka
Basi jaribu njia nyingine, lakini hiyo ndio ninayoijua kuwa inaweza kufanya kazi Kwa kiasi kubwa.Sipat usingizi nikilala ivyo
Usimfuate MkumboKuna mzee wa kuhindi ndio alinishauri na ilitibu tatizo