Naombeni msaada nimetapeliwa

Naombeni msaada nimetapeliwa

Msimcheke hapa tu najaribu kumpa tag
Kwa kifupi alipelekwa kwenye yard iliyoko Morocco.... Huko ndiko alipopigwa
Ila Mpaka dakika hii jamaa a napambana na polisi na mwenye yard
Jamaa ashapewa a, b, c za kufata ili awapate Hao matapeli
Ningekuwa dar ningeinunua kesi hiyo Yaani mpaka kesho saa nane kingeshaeleweka

Ova
 
Aisee nimecheka kama mazuri vile daah
huyo mwenye miwani ukimcheki tuu usoni ana kesi ya kujibu..

Kitambi cha wizi,
anaangalia kiwizi,
kakaa kiwizi wizi,
hata miwani amevaa kihuni......

Hicho kitambi ni frexible.....
Akiwa kwenye meza ya makubaliano anakivimbishaa(huoni hata alivyokaa?)

Ukimshtua kina nyweaa

Ungemshtua tuu hapo hata kwa kupiga miguu chiniiii......
Ungeachiwa viti tuu hapo.......
Hata majii haachi.......

Usikute hata hayo maji kayatapeliii
 
Huyo mzee alijifanya mstaafu nini..Kuna jamaa walinambia niwauzie Gari..nikawapa picha, wakanambia niwapigie na picha ya kadi nikasita.
 
Msimcheke hapa tu najaribu kumpa tag
Kwa kifupi alipelekwa kwenye yard iliyoko Morocco.... Huko ndiko alipopigwa
Ila Mpaka dakika hii jamaa a napambana na polisi na mwenye yard
Jamaa ashapewa a, b, c za kufata ili awapate Hao matapeli
Ningekuwa dar ningeinunua kesi hiyo Yaani mpaka kesho saa nane kingeshaeleweka

Ova
That's why I like you. Una moyo wa pekee dear.
 
Msaidie kwa namna yoyote mkuu!
Polisi hawa muda mwingine chenga sana
Msimcheke hapa tu najaribu kumpa tag
Kwa kifupi alipelekwa kwenye yard iliyoko Morocco.... Huko ndiko alipopigwa
Ila Mpaka dakika hii jamaa a napambana na polisi na mwenye yard
Jamaa ashapewa a, b, c za kufata ili awapate Hao matapeli
Ningekuwa dar ningeinunua kesi hiyo Yaani mpaka kesho saa nane kingeshaeleweka

Ova
 
Ww ungeeleza hapa imekuwakuwaje,
Sasa unasema tu et umetapeliwa ki vp sasa??
Kwetu wanasema, Hata kichungu ule na wenzio. Yeye katapeliwa anatamani nanyi mtapeliwe ili aseme; Kifo cha wengi ni harusi. Hatakuambia alivyolizwa
 
Msimcheke hapa tu najaribu kumpa tag
Kwa kifupi alipelekwa kwenye yard iliyoko Morocco.... Huko ndiko alipopigwa
Ila Mpaka dakika hii jamaa a napambana na polisi na mwenye yard
Jamaa ashapewa a, b, c za kufata ili awapate Hao matapeli
Ningekuwa dar ningeinunua kesi hiyo Yaani mpaka kesho saa nane kingeshaeleweka

Ova
Katibu wa kitengo flani humu ndani okoa jahazi la jombaa aisee!! Wengine timeishia kuwaza gari hewa ni la aina gani.
 
Huyo wa miwani huo mkao dah!

Muda huu atakuwa anazungusha round tu maeneo yake ya kujidai.
 
Katibu wa kitengo flani humu ndani okoa jahazi la jombaa aisee!! Wengine timeishia kuwaza gari hewa ni la aina gani.
Alipelekwa yard inavyonekana Kuna mchezo alifanyiwa pale yard...... Walimpanga
Inaelekea alifanya malipo kumbe Gari kanyaboya
Tatizo ugeni..... Alaf jiji haijui vizuri
Ila atafanikiwa kuwapata....

Ova
 
Acha udwanzi wewe .sasa ndo nini kurusha picha yangu JF? Uzembe wako uje kutulaumu sisi?ondoa picha yangu ama weka na yako au ntaweka mimi yako.
 

Tatizo halieleweki na huyo Mshana naye hata kusaidia tatizo lieleweke hafanyi hivyo sijui zilimzidia pale Container Bar Maili moja? haya endeleeni na matapeli wenu ingawa mimi nitajaribu kutoa angalizo dogo tu...Mara nyingi hawa matapeli wa viunga vya Dar huwa wanashirikiana na baadhi ya Polisi wasio waaminifu , Mshana hebu nenda pale Mji mpya Police fanya research ndogo ya kesi za hivyo zilizolipotiwa kituoni hapo utagundua nasema nini na ndipo unaweza ukaisaidia jamii isiendelee kuumizwa na hawa washenzi
 
Back
Top Bottom