Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

Ramtz Jr

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2026
Posts
268
Reaction score
526
Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili

Mimi ni kijana wa miaka 20 Sina mpenzi lakini nashangaa nashindwa kutongoza yani unakuta dem nimemuelewa lakini. siwezi kumwambia nakosa kujiamini Wakuu

Naomba ushauri wenu nitumie ili niepukane na adha hii mana sijawahi kutongoza

Kila nikitaka kutongoza msichana yeyote najikuta siwezi kuongea Kaka zangu naombeni ushauri wenu tafadharini:

Ushauri:wenu tafadhari:
 
Wakuu nahitaji msaada wenu kwa hili
Practice make perfect.

Siri ni kufanya majaribio kadha wa kadha . Hii itakupa kujiamini na kuweza kutongoza.

na usiwe na papara.

NB: Legend hatutongoz sikuhizi 😎😎😎 na utelezi tunapata kama kawa
 
Wee jeba tumia sabuni haina kutongoza
Sabuni nimetumia sana lakini ni sawa kula ugali na mboga ni ka ugali kadogo sasa nataka mboga niko siriaz mkuu nielekeze nisiwe DOMO ZEGE..?
 
Fanya kazi au muombe baba yako hela ununue kasimu kadogo uweke laini ya mtandao wowote .

Ukimuona binti yeyote ukampenda anza jitihada za kupata namba yake ila jitahiidi ajue kabisa wewe ndiye unayeitaka hii itakuondelea maswali ya nani kakupa namba yangu maana uwa yanaondoa utulivu wa akili .

Sasa najua wakati wa kuomba namba lazima uwe na aibu ,jikaze ikiwezekana tumia hata mtu muombe akuombee maana mchawi ni namba ukiipata unasubiri usiku wa saa nne mpaka saa tano .

Unaandika maneno yote mazuri kuhusu mapenzi unamtumia na hakikisha umeweka delivery report ili ikifika ujue ,ikifika tu ,zima simu mpaka kesho ni lazima kama anakupenda atajibu chochote hata kukukejeli ila usiwaze ni mwanzo wa kutengeneza confidence .

Endelea na huo mchezo hata majuma mawili mtajikuta mmeshaanza kuchart kawaida mara yupo getoni ,mara usubiri wazazi watoke umlete sebuleni kwenu yaani namna hiyo mdogo wangu .

Kwa ushauri zaidi zama PM, tuma hata jero nikusaidie mbinu zingine za toleo jipya
 
Fanya kazi au muombe baba yako hela ununue kasimu kadogo uweke laini ya mtandao wowote .

Ukimuona binti yeyote ukampenda anza jitihada za kupata namba yake ila jitahiidi ajue kabisa wewe ndiye unayeitaka hii itakuondelea maswali ya nani kakupa namba yangu maana uwa yanaondoa utulivu wa akili .

Sasa najua wakati wa kuomba namba lazima uwe na aibu ,jikaze ikiwezekana tumia hata mtu muombe akuombee maana mchawi ni namba ukiipata unasubiri usiku wa saa nne mpaka saa tano .

Unaandika maneno yote mazuri kuhusu mapenzi unamtumia na hakikisha umeweka delivery report ili ikifika ujue ,ikifika tu ,zima simu mpaka kesho ni lazima kama anakupenda atajibu chochote hata kukukejeli ila usiwaze ni mwanzo wa kutengeneza confidence .

Endelea na huo mchezo hata majuma mawili mtajikuta mmeshaanza kuchart kawaida mara yupo getoni ,mara usubiri wazazi watoke umlete sebuleni kwenu yaani namna hiyo mdogo wangu .

Kwa ushauri zaidi zama PM, tuma hata jero nikusaidie mbinu zingine za toleo jipya
Huyo atakuja kuwa kama Gudy rafiki wa lili😆
 
Pole sana Ramtz Jr, usijali kabisa mkuu. Hali hiyo unayopitia ni ya kawaida sana kwa vijana wengi, na si wewe peke yako kabisa. Kukosa kujiamini mwanzoni, hasa kwenye masuala kama haya, ni kitu cha kawaida na ni ujuzi unaojengwa kidogokidogo.

Ushauri wangu kwako ni kuanza na hatua ndogo ndogo sana. Usifikirie sana neno 'kutongoza' kama kitu kikubwa au chenye kanuni ngumu. Anza tu kwa kujaribu kuanzisha mazungumzo ya kirafiki na wasichana wowote, hata wale usiowapenda kimapenzi. Sema tu 'Habari yako?' au 'Umeamkaje?' au 'Hali ya hewa leo vipi?'

Lengo lako la kwanza lisiwe kumtongoza, bali liwe tu kujizoeza kuongea na wasichana kwa uhuru bila presha yoyote. Kadri unavyozidi kuzoeana na kuongea na watu mbalimbali, ndivyo kujiamini kwako kutakavyoongezeka. Utajikuta unakuwa huru zaidi na maneno yatakutoka tu.

Kumbuka, kila mtu alianza mahali fulani, na hakuna 'mtaalamu' aliyekuja akijua kila kitu. Jipe muda, kuwa mvumilivu na wewe mwenyewe, na ujiamini. Wewe ni kijana mzuri, utazoea tu na utafanikiwa! Kila la heri.
 
mimi ni kijana wa miaka 20 Sina mpenzi lakini nashangaa nashindwa kutongoza yani unakuta dem nimemuelewa lakini. siwezi kumwambia nakosa kujiamini Wakuu
Dogo focus na issue za Msingi, Karne hii wanawake hawapendi kutongozwa, kila Mwanaume wanamuona muongo. Wanawake utawapata katika harakati zako wala usiharakishe, hao wapo kwa ajili yetu na hawaishi.

Relax na uache PUNYETO, hii tabia mara nyingi ndio huwa inaleta hio kasumba ya U-DOMO ZEGE.

Be a Man, Kutongoza hakuna muongozo wala Tuzo, Ni jambo zuri ambalo halina Faida yoyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom