Pole kwa kutapeliwa, ila the way ulivyokimbia kuleta hizo picha hata kama ni mimi nakutapeli tu, ushaaharibu uchunguzi wa polisi,
Umekimbia hapa km vile ni Osterbey bana.
Then kwenye utapeli
Tamaa imekuponza, umeambiwa gari bei chee, wakakupeleka yard wakakuonesha gari wakakuambia usiongee na mtu yoyote pale, wewe kagua gari tu.
Malipo mtaenda kumalizana na jamaa, tena wanakuambia mwenye gari yupo bandarini 😂😂😂
Huu utapeli umewatokea rakifi zangu zaidi ya watatu na kesi zipo polisi
Alafu hizo picha zinaonekana kama kinondoni Papii Chuloo... 😂😂😂
Ni vituko, kbs,