HhahaahahYaani ukafanya biashara na sura kama hizo
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli
Sio Kwamba sijaenda nimeishaenda bossSasa wewe badala ya kwenda police unakuja kushitaki humu kwa melo
Na hiyo gari hewa ndio gari gani umeiuziwa ikiwa kwenye puto au vipi
Halafu mbona hao jamaa ni raia wa South AfricaSio Kwamba sijaenda nimeishaenda boss
Wanaangalia kitapelitapeliKuna uzi nimeanzisha asubuhi hii lakini siuoni wanajf kwa kifupi kimetapeliwa na hawa watu hapo chini wameniuzia gari hewa kwa yeyote anaewafahamu wahusika hapo chini anifahamishe View attachment 1280078View attachment 1280079View attachment 1280080
Niliwahisi dk za mwisho wakati nimeishaweka pesa ndo maana nilichukua picha kwa sababu walianza kuomba omba pesa nje ya makubalianoUlikuwa bize kuwapiga picha huku ukipigwa changa la macho, bila shaka ulilijua hilo ndio maana umejiandalia ushahidi.... pole sana.
Sidhani sababu kuna nyingine alikuwa anaongea hadi kikabilaHalafu mbona hao jamaa ni raia wa South Africa