real hustler
Senior Member
- Mar 12, 2021
- 155
- 241
Mimi ni kijana wa miaka 29, baada ya kumaliza chuo nilipata intern ya kilimo ulaya mwaka 2023_2024
Baada ya kukamilisha nilirudi Tanzania kuendelea na maisha
Sasa katika kupambana ninaye jamaa yangu tuliokuwa naye abroad wote akanishirikisha kuna fursa zingine za kwenda nchini canada yakuwa ni very agency na muajiri anahitaji recent intern wenye experience nikaona kama ina make sense hiyo ilikuwa feb2025, nikaaply wenye hilo kampuni la agency ambao ni watanzania walitutaka tulipie usd 2500 na sio tshs kulingana na uhitaji na wakati huo dolla ilikuwa juu nikaingia gharama nikalipia nikujua safari ni jun2025
Ilipofika April wakadai tujiandae na issue za embasy nikaona safari hii hapa. Ulipofika mwezi wa tano bila kufanikisha issue ya embassy wakaanza sababu kuwa canada sasa wanasera mpya za immigrant hivyo tusubiri ulipofika mwezi wa sita hakukuwa na safari.
Tulipoanza kuhoji wakatuambia hata sisi hatuelewi tuvumiliane siku 45 siku hizo zilipoisha wakaja na story ya kuwa tumepata kazi spain atakayetaka tumfanyie transfer nikaona kama nimevumilia 6month hii ya spain nayo wamesema ni urgent only 3 month mnaondoka nikaona ngoja tuone.
Mwezi wa 11 tukapewa contract ambapo walituahidi feb mnaondoka ilipofika jan wakatuambia majina yetu employer kayapeleka embassy tujiandae ilipofika february hakukuwa na safari story ni vile vile tusubiri tena sasa wanasema wao hawajui safari itakuwa lini maana employer naye hajui kuhusu sisi
Tulipoomba hela yetu kwa kuwa tunaona hamna issue hapo wanatuambia mwajiri wa ulaya kasema hawezi rudisha hela hadi wapate watu wengine watakao replace kuondoka kwako ndio urudishiwe hela yako
Nimeleta huo uzi
Je nimetapeliwa
Niende polisi
Au hapo unanishaurije mwa JF na mimi ndio tegemeo nyumbani
Asante
Baada ya kukamilisha nilirudi Tanzania kuendelea na maisha
Sasa katika kupambana ninaye jamaa yangu tuliokuwa naye abroad wote akanishirikisha kuna fursa zingine za kwenda nchini canada yakuwa ni very agency na muajiri anahitaji recent intern wenye experience nikaona kama ina make sense hiyo ilikuwa feb2025, nikaaply wenye hilo kampuni la agency ambao ni watanzania walitutaka tulipie usd 2500 na sio tshs kulingana na uhitaji na wakati huo dolla ilikuwa juu nikaingia gharama nikalipia nikujua safari ni jun2025
Ilipofika April wakadai tujiandae na issue za embasy nikaona safari hii hapa. Ulipofika mwezi wa tano bila kufanikisha issue ya embassy wakaanza sababu kuwa canada sasa wanasera mpya za immigrant hivyo tusubiri ulipofika mwezi wa sita hakukuwa na safari.
Tulipoanza kuhoji wakatuambia hata sisi hatuelewi tuvumiliane siku 45 siku hizo zilipoisha wakaja na story ya kuwa tumepata kazi spain atakayetaka tumfanyie transfer nikaona kama nimevumilia 6month hii ya spain nayo wamesema ni urgent only 3 month mnaondoka nikaona ngoja tuone.
Mwezi wa 11 tukapewa contract ambapo walituahidi feb mnaondoka ilipofika jan wakatuambia majina yetu employer kayapeleka embassy tujiandae ilipofika february hakukuwa na safari story ni vile vile tusubiri tena sasa wanasema wao hawajui safari itakuwa lini maana employer naye hajui kuhusu sisi
Tulipoomba hela yetu kwa kuwa tunaona hamna issue hapo wanatuambia mwajiri wa ulaya kasema hawezi rudisha hela hadi wapate watu wengine watakao replace kuondoka kwako ndio urudishiwe hela yako
Nimeleta huo uzi
Je nimetapeliwa
Niende polisi
Au hapo unanishaurije mwa JF na mimi ndio tegemeo nyumbani
Asante