Naombeni msaada nimetapeliwa

Naombeni msaada nimetapeliwa

Humu JF tunawatahadharisha kila mara, na sio watoto wa LY ni watu wazima lkn utapeli acha watu wafunguke huwezi wazuia
Wengine ndio maana tunaangalia km wewe na tupite tu tusiwadhrau wenzetu
Juzijuzi nimeambulia matusi humuhumu JF tumewakumbusha wizi wa magari uliotokea kule Mtoni kwa Aziz Ally jamaa akalipata gari lililotapeliwa na Askari wenyewe kituo cha K
Nikaeleza nilivyotaka kuibiwa Kunduchi kwa Warioba
Bado mtu anaweka Gari na zake na simu yake UNASHINDWAJE kusearch wakati ukiingia TRA, Bima, Traffic utaiona hiyo Gari cha mwisho ni namba zake za simu kwani ndio registered na NIDA sasa vinapishana kwa hiyo huyo lazima atakuwa DALALI, lkn bado watu hawaelewi
Na madalali waliomo humu JF wa Magari wanakutishia eti kuna mama alichomew nyumba kwa kuharibu biashara hakutoa ulaji.
Ndio maana katokea mrangi na baadhi ya member wameshawatambua na Mleta Mada angeendelea kutupa Feedback Matapeli wangekimbia kwani kuingia JF ni bure
Bwana bunazi Hawa jamaa kutokana na maelezo yake aliwapata kupatana. Com
Huko kwenye yard alipopelekwa walimpanga, kingine bwana bunazi jiji hili yeye alikuwa mgeni
Ila kwa speed anayoenda atawadaka
Mzee baba Ukwaju siku zote mjinga wakati wa kwenda tu wakati wa kurudi ushajua njia

Ova
 
Sasa wewe gari umenunulia bar, ulitegemea nini?
 
Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..

Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Halafu ni mijitu mizima kabisa man, linchi limejaa wajinga wajinga wengi sana.

Shame of them motherfuckers
 
Yaani huyo mtu kwa kumtazama tu ni anaonyesha ni tapeli 😀
 
Walimtapeli marehem mama yangu.
tena pesa ya matibabu!
Sio watu wazuri kabisa waepuke.. sijui huwa wanatumia nini..lkn wana uwezo wa kukuzubaisha pia!
Mahesabu tu ,hakuna lolote
 
Bwana bunazi Hawa jamaa kutokana na maelezo yake aliwapata kupatana. Com
Huko kwenye yard alipopelekwa walimpanga, kingine bwana bunazi jiji hili yeye alikuwa mgeni
Ila kwa speed anayoenda atawadaka
Mzee baba Ukwaju siku zote mjinga wakati wa kwenda tu wakati wa kurudi ushajua njia Ova
Pole yake bunazi kwani yupo humu kuanzia 2014 tunapowashtua Member sijui anakuwa wapi
mwisho tunatukanwa kwa kuziba riziki
Mtu anatangaza Gari na kaweka Namba
kwa nini usiende TRA yoyote kujiridhisha?
basi chukua namba zake linganisha na Kadi au na muuzaji km ni ya showroom
ingia mtandao wa Traffic utaiona na muhoji mbona hujailipia deni LAZIMA atakimbia
ingia BIMA tiramis muulize inadaiwa lazima atakimbia maana vinapishana na simu yake
Dalali kila siku wana mbinu kibao
mrangi umemsaidia sana km hataleta mrejesho basi, agangamale humu kwa picha tu wameshajulikana na majina lazima wamrudishie vijisent vyake
mwisho bunazi nenda kwa Mambosasa au nduguyo Paul Makonda
 
Toa ufafanuzi Wa kutosha ilikuwaje?
 
Yaani ukafanya biashara na sura kama hizo🤣🤣🤣
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli😂😂
Ni hatari sana inatupasa kuwa makini kwa sasa hali ni ngumu hadi matapeli wazidi kubuni mbingu nyingi zaidi
 
sometimes ınatakiwa kujiridhisha Kwanzaa then ndo ufanye manunuzi au ufanye biashara

Wahehenga si wajinga kusema fikiri kabla ya kutenda na tenda baada ya kufikiri
 
huyo mwenye miwani ukimcheki tuu usoni ana kesi ya kujibu..

Kitambi cha wizi,
anaangalia kiwizi,
kakaa kiwizi wizi,
hata miwani amevaa kihuni......

Hicho kitambi ni frexible.....
Akiwa kwenye meza ya makubaliano anakivimbishaa(huoni hata alivyokaa?)

Ukimshtua kina nyweaa

Ungemshtua tuu hapo hata kwa kupiga miguu chiniiii......
Ungeachiwa viti tuu hapo.......
Hata majii haachi.......

Usikute hata hayo maji kayatapeliii
😂😂😂😂
 
Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..

Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Na coments za kijinga zinapata likes kama zote. Hiki ni kipimo kamili cha aina ya watu waliomo kwenye jamii.
Problem solvers hutawapata kamwe, ndio sababu watu wengi wanapenda short cuts, vitu feki n.k
 
Back
Top Bottom