Naombeni msaada nimetapeliwa

Naombeni msaada nimetapeliwa

Niliwahisi dk za mwisho wakati nimeishaweka pesa ndo maana nilichukua picha kwa sababu walianza kuomba omba pesa nje ya makubaliano
Ungeleta 'hadithi' nzima hapa ili iwe fundisho hata kwa wengine kuchukua tahadhari.

Tukio kubwa namna hiyo unaishia kuleta picha tu bila hata kueleza tukio zima lilivyokwenda, pia kueleza ni location gani huko?
 
Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..

Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Hajaeleza kisa kizima, utamsaidiaje sasa
 
Sasa hapo utamsaidiaje?

Hakuna maelezo yeypte zaidi ya picha.

-Gari hewa kauziwaje? Je hilo gari analo au hana? Hewa anamaanisha Bovu au?
-Kaibiwa sehemu gani? Dar au Mkoani?
-Nani alimuunganisha na hao matapeli? Alikutana nao online au?
-Kuna taratibu gani alizifuata za mauziano?

Yeye anasema story ni ndefu hawezi kuiandika basi ampigie simu mshana kisha mshana ataandika yote na watayaweka kwenye main post.
Muulize, Muelekeze ajieleze, afafanue huo utapeli ulitokej
Hajaeleza kisa kizima, utamsaidiaje sasa
Kama Kisa hajakifafanua, huwezi kumsaidia kaa kimya,..
 
Mimi kila sikua nakutana na watu wanaouza madini...
Ngoja nijichunge sana
 
Fanya mpango kazuie zile pesa ulizoweka kwenye acc.

Pia kuwapata au jaribio la kuwapata tumia mbinu uliyotumia kuanza nao mapatano kwa connection zote.

Pole though uzi haujaji dadavua!!
Mkuu haujakumbana na acct zenye kiu. Within a minute pesa haipo, siyo kwa kuhamishwa, kwa kuchukuliwa kabisa.

Hao jamaa huwa wamejipanga kisawasawa.
 
Yaani ukafanya biashara na sura kama hizo🤣🤣🤣
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli😂😂

Yaani mimi sura za matapeli nazijua tokea sekunde ya kwanza.

Sijui jamaa alijichanganya nn.
 
Back
Top Bottom