SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,966
- 9,378
Na mtu ambaye yupo Dodoma jana katutext eti ameshikwa na polisi tumlipie dhamana tokea hapo hatuna taarifa yeyote naomba msaada kama kuna mtu ambaye anaweza kutusaidia tumpate .
Maana hapatikani kwenye simu.
Tunaomba msaada maana hii ni serious . Mimi napendaga matani ila naombeni msaada tafadhali.
Asante.
Maana hapatikani kwenye simu.
Tunaomba msaada maana hii ni serious . Mimi napendaga matani ila naombeni msaada tafadhali.
Asante.