First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
kweli bmkubwa aamuwe una akili dogo.
Mshauri vizuri bi mkubwa aisee!
kweli bmkubwa aamuwe una akili dogo.
Mamkwe najua hutaniangusha!
hee ushajimilikisha mara hi?
Nimekapenda eti?
Mamkwe najua hutaniangusha!
Ma mkwe tena...we daughter mbona kama huyu mmemalizana kabisa..
afu wewe unataka kubugi kama umekapenda kadogo kangu ongea na mimi vizuri bmkubwa tunamlainisha tu.
Ma mkwe tena...we daughter mbona kama huyu mmemalizana kabisa..
bmkubwa ndo umekubali??
Shemeeejii, ungejua nilivyoliita wala usikataa kwenda kumyeyusha maza aniruhusu niwe mmiliki rasmi.
sasa we subiri niende chemba na bmkubwa mambo yataenda tu.
Walaaa...nayajulia wapi mambo yenu wasichana hebu mmalizane wenyewe huko
Naona ka bimkbw mwenyewe keshaitikia vile
muulize mama baba yuko wapi atakuambia.
cha kufanya hapa tumwite dogo aje aseme then tunaenda rasimi kwa maza, saiz mwache bmkubwa apumzike na anavokapenda haka katoto.
mdogo wangu nakuomba njoo uku tuongee kitu.
Angalia usimuingize mdogo wako chaka maana mtu huyo mi kama simuelewi
heb kaje bhas jamanii! mama tyri, kazi umepewa wewe shemu wng!
Mimi nataka u-wifi una kaka?
Angalia usimuingize mdogo wako chaka maana mtu huyo mi kama simuelewi