Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,898
- 51,863
hahahahaa nilikua nakutafuta wewe kumbe ni kaka, karibu sana kaka nadhan na ugomvi utaisha sasa.
nishaumaliza, asomaye na aelewe vizuri.
hahahahaa nilikua nakutafuta wewe kumbe ni kaka, karibu sana kaka nadhan na ugomvi utaisha sasa.
kumbe ww ndio ulitaka kumharibia masomo dogo, kama wewe ulivyochukuliwa kienyeji eeh?waooh me dada'ko na Mwanyasi shemeji yako. Unataka na mme pia?
ooh my sis jamani gud news...nafurahi umenitambulisha na shemeji pia, kuhusu mume ngoja nisubiri subiri kidogooo
kumbe ww ndio ulitaka kumharibia masomo dogo, kama wewe ulivyochukuliwa kienyeji eeh?
nashukuru umetambua umuhimu wa elimu kwanza, wanaume wapo tu utajapata wa kukufaa mbeleni.
Ahaaaa nlisahau mwanangu si unajua uzee tena..
heeee dada huyu First Born simtaki amekaa kifataki fataki....hata simuwezi
hyo ni simple sana
ukitia tu maguu home unakula za uso
hapana siwezi chukua nafasi hiyo, mshua atasimamia nafasi yake mwenyewe.
eti eeh, haya kaka yangu
hahahaa kaka una mkwara.. Nampenda mdogo wangu nataka afurahie maisha kama mimi na shemeji yake shule ipo tu.
na kaka ulivo mbabe hamna haja ya mlinzi.
dogo me naenda job hela ya vitafunwa mwambie kaka, then uje kwa ofic uchukue hela umnunulie mama maini kabla hujaingia lecture.
Huyu mdogo wako mbona hajaniletea hayo maini au ndo kaenda kwa yule kijana?
hapana mama atakua kawahi kipindi kwanza, hawezi fanya hivyo atakuja tu mumy.
Mi nasubiria....mnanichomesha mahindi na mvi hizi...hamna adabu