masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 566
nimegundua wengi saiz sio waoaj bali wachafuz, ndoa atapata tu. Alafu hilo jina lako lina maana gani?
Hakuna mume wa kweli kama mimi, kwa hakika hatojutia uwepo wangu. Cha msingi awe tayari kunipenda kwa dhati.
Hilo jina ni jina la kijiji kimoja kipo pembezoni mwa shule moja ya serikali kongwe sana hapa tanzania.
Hilo eneo ni kame sana linapatikana katika moja ya mikoa ya kaskazini