Naomba undugu

nimegundua wengi saiz sio waoaj bali wachafuz, ndoa atapata tu. Alafu hilo jina lako lina maana gani?

Hakuna mume wa kweli kama mimi, kwa hakika hatojutia uwepo wangu. Cha msingi awe tayari kunipenda kwa dhati.
Hilo jina ni jina la kijiji kimoja kipo pembezoni mwa shule moja ya serikali kongwe sana hapa tanzania.

Hilo eneo ni kame sana linapatikana katika moja ya mikoa ya kaskazini
 
Hakuna mume wa kweli kama mimi, kwa hakika hatojutia uwepo wangu. Cha msingi awe tayari kunipenda kwa dhati.
Hilo jina ni jina la kijiji kimoja kipo pembezoni mwa shule moja ya serikali kongwe sana hapa tanzania.

Hilo eneo ni kame sana linapatikana katika moja ya mikoa ya kaskazini

vijana wa digtal bana mna mambo! Kumbe we mwenyewe hujui maana.
 
Ntakujibu basi kesho ngoja nilale best asubh kwa job, nikisahau nicheki kwa 0712 661366 sawa?
 
Back
Top Bottom