janeth1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,151
- 768
namsubiri kaka na baba
muulize mama baba yuko wapi atakuambia.
namsubiri kaka na baba
muulize mama baba yuko wapi atakuambia.
Njoo uniulize wewe
Njoo uniulize wewe
mmh wajameni humu ndani kuna watu wana waume zao, wake zao, watoto, wakwe, mawifi, mashemeji, kaka zao, dada zao, wapenzi, majirani, mama, baba, bibi, babu n.k.....
mie tu ndo sina ndugu au nimetokea sayari nyingine mweeeh
samahani aisee nimetokea kuchukia jina lako.
samahani aisee nimetokea kuchukia jina lako.
hahahaaa nafrahi kwanza mama, kwani mama ivi baba yuko wapi?
mama where is my baba? mwambie aje nimpe heshima yake
Pole...hatuna namna ya kukusaidia...utubu dhambi ya chuki nawe utasamehewa
Kuweni wavumilivu....amesafiri...
Kuweni wavumilivu....amesafiri...
bila samahani
pole ukiliona tena fumba macho
mdogo wangu uko nondo nimeyapenda majibu yako, naongezea tena avae miwani kabisa.
bila samahani
pole ukiliona tena fumba macho
Pole...hatuna namna ya kukusaidia...utubu dhambi ya chuki nawe utasamehewa
kwa sababu sina dada ngoja niwe kaka ako
unaanzia mbali
wewe mwanamke au mwanaume?mbali ndo wapi huko?